Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,444
achana na mitecno ndo solution.dah yaan inanikera sana sijui niiuze bei ya gunia la mkaa!!!?
achana na mitecno ndo solution.dah yaan inanikera sana sijui niiuze bei ya gunia la mkaa!!!?
Flash hiyo simuhabari zenu wakuu mimi nina simu yangu Tecno boom j5 lkin kinachonishangaza ni kuwa nikidownload app naambiwa not enough space lkn nikiizima na kuiwasha ile app ina download ss ttz ni nn!!!?
Tatizo ni wewe na utumiaji wako hiyo simu ina ram 1gb ROM 16gb umejaza nini?habari zenu wakuu mimi nina simu yangu Tecno boom j5 lkin kinachonishangaza ni kuwa nikidownload app naambiwa not enough space lkn nikiizima na kuiwasha ile app ina download ss ttz ni nn!!!?
s̸i̸j̸a̸j̸a̸z̸a̸ v̸i̸t̸u̸ v̸i̸n̸g̸i̸ n̸i̸n̸a̸ m̸a̸g̸e̸m̸u̸ k̸a̸m̸a̸ s̸i̸t̸a̸ h̸i̸v̸ p̸a̸m̸o̸j̸a̸ n̸a̸ a̸p̸p̸ z̸a̸ k̸a̸w̸a̸i̸d̸a̸ t̸u̸Tatizo ni wewe na utumiaji wako hiyo simu ina ram 1gb ROM 16gb umejaza nini?
Nina simu kama hiyo Miaka 2 hajawawahi nisumbua Jaribu resets̸i̸j̸a̸j̸a̸z̸a̸ v̸i̸t̸u̸ v̸i̸n̸g̸i̸ n̸i̸n̸a̸ m̸a̸g̸e̸m̸u̸ k̸a̸m̸a̸ s̸i̸t̸a̸ h̸i̸v̸ p̸a̸m̸o̸j̸a̸ n̸a̸ a̸p̸p̸ z̸a̸ k̸a̸w̸a̸i̸d̸a̸ t̸u̸
Reset hiyo simu toa laini na memorys̸i̸j̸a̸j̸a̸z̸a̸ v̸i̸t̸u̸ v̸i̸n̸g̸i̸ n̸i̸n̸a̸ m̸a̸g̸e̸m̸u̸ k̸a̸m̸a̸ s̸i̸t̸a̸ h̸i̸v̸ p̸a̸m̸o̸j̸a̸ n̸a̸ a̸p̸p̸ z̸a̸ k̸a̸w̸a̸i̸d̸a̸ t̸u̸
Tecno C8 bestUnatumia simu gani mkuu?
Asante sana mkuu Ngoja nijaribu then nitakupa mrejeshotafuta file manager ndani ya simu yako halafu fungua utaletewa mafolder ya simu shuka chini hadi uone folder limeandikwa whatsapp ingia humo kisha ingia media kisha ingia whatsapp video kisha utaona folder limeandikwa sent ingia humo futa video zote, kama unatuma sana video utapata nafasi ya kutosha.
kama bado nenda gallery kafute video ulizotumiwa au kuchukua na camera, alternative kama bado unazitaka zi cut au zi move kwenda sd card.
Unaifanyia wapi hiyo brother