Recent content by curie

  1. curie

    Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach, wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji

    Safi tuambizane je hizo namba ni za kirumi au kiarabu
  2. curie

    KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Siku hizi hupati kazi kizembe zembe kama wakati wa JK ,mwl analalamika hesabu ndogo ndogo wakt hizo unajifunza kuanzia nursery hadi chuo. Bila shaka we ndo ulikuwa unamtukana mwl wa hesabu na F unayo
  3. curie

    Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

    Ngumu kumeza
  4. curie

    Ali Kamwe: Kuna mchezaji tangu kaenda timu nyingine anajitutumua kuliko alipokuwa kwetu

    Juzi kati tulimpeleka mshikaji wetu kumzika huko upareni chome wale jamaa wana imani potofu sana
  5. curie

    Lissu awasilisha maombi kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Jamhuri mpira kwapani
  6. curie

    Mufti anapata faida gani kusema uongo kuhusiana na mwandamo wa mwezi?

    Je kwa pasaka vipi nako serikali ndo upanga
  7. curie

    Hivi wanawake huwa hawaoni kero kuvaa mavazi yanayowatesa wenyewe?

    Picha imepigwa sehem nyeti sana hii 😋😋😋😋
  8. curie

    Dkt. Peter Kisenge: Unywaji wa pombe uliokithiri unachangia magonjwa ya moyo

    Umesema tunywe bia ngapi kwa siku aliyesoma para zote ?
  9. curie

    Mufti: Mwezi haujaandama, Machi 20 tunakamilisha Ramadhani 30

    Mnaofanya kazi kwa wahindi kazi mnayo ...Umuhimu wa kujiajiri ndo unapaonekana
  10. curie

    Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Labda kajenga mityana
  11. curie

    KERO Tuliosoma Bachelor of Education in Psychology, hakuna ajira tangu 2015

    Mtumaini Mungu muweza ya yote ipo sku yako utaingia serikalini mimi tokea nimehitimu 2015 mwaka huu ndo nimeingia kwenye payroll ya mama samia
Back
Top Bottom