Zitto anapambana na mkakati wa kaskazini ambao lengo lao ni kuhakikisha Rais anatoka kaskazini, awe mchaga ambapo hawatafanikiwa, bahati nzuri watu wa kigoma wamelijua hilo
Wakiongea baada ya kumalizika mkutano wa hadhara wa mwanga community center wamesema kuwa wao wamejitokeza kuja kusikia mashtaka 11 ya Zitto Zuberi Kabwe badala ya kutusomea mashtaka ameongelea ujenzi wa chama sisi hakikutuleta hicho sisi tumekuja kusikia mashtaka ya kijana wetu, wakienda mbali...
Mtei - baba mwenye nyumba
mbowe - mtoto wa mwenye nyumba
Slaa - mpangaji
Lissu - Mchumia tumbo
Lema - Mini kabang
Nashukuru wana kigoma wameanza kuelewa maana walikuwa wanatumika Kama mshumaa
Chadema watashinda moshi endapo tu atasimama ndesamburo, na Hai kwa mbowe, majimbo yaliyo baki yatarudi CCM, kwa kuwa Wabunge wa CDM wameshindwa kuchimba hata mtaro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.