bopwe
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 1,768
- 1,445
Kwa maneno machache kabisa ili kuenzi siasa za Tata Mandela napendekeza CuF wamsamehe Hamad Rashid na arufishiwe uwanachama wake ili kujenga uimara uchaguzi ujao.
Ni mgongano wa kimawazo tu ndio ulo sababisha yeye kutimuliwa siamini kuwa ni msaliti.
HAMad Rashid ni nguzo muhimu sana bungeni na ni mtu asie na jazba katika kujenga hoja na amekikitetea chama chake kwa uwedi mkubwa katika majukwaa na midahalo mbali mbali. Naweza kusema hakuna mtu mahiri katika CUF anaye mshinda Rashid kuisimamia CUF
Nakumbuka mdahalo wake na mbowe ITV namna alivo simama imara kupangua masuali yote kwa ufasaha mkubwa sana
Maalim seif najua unapita huku jamii forum kama hupitii basi wakupe ujumbe ya kwamba lililopita si mdwele tugange ya mbele.Rashid mmetoka mbali sana mlikua pamoja katika kkundi la vijana mliokua mkipinga msimamo ya Ccm kuhusu muungano ,mlifukuzwa Ccm nyote pamoja na pia mlipata vipigo pamoja
Onesha ukomavu wa kisiasa kama mandela alivo wasemehe maadui zake waliomtesa na kumdhalilisha na kuua watu wake na kusambaratisha familia yake. Wewe mwenyewe umufungwa na kuteswa na Ccm umedhalilishwa lakini umekubali kusamehe na kufanyakazi nao tena ukiwa chini ya Ukuu wao. Vipi ikushinde kuanzisha upatanishi na nduguyo mloteswa pamoja ?
Mtafute muungee Man to Man myamalize
Ni mgongano wa kimawazo tu ndio ulo sababisha yeye kutimuliwa siamini kuwa ni msaliti.
HAMad Rashid ni nguzo muhimu sana bungeni na ni mtu asie na jazba katika kujenga hoja na amekikitetea chama chake kwa uwedi mkubwa katika majukwaa na midahalo mbali mbali. Naweza kusema hakuna mtu mahiri katika CUF anaye mshinda Rashid kuisimamia CUF
Nakumbuka mdahalo wake na mbowe ITV namna alivo simama imara kupangua masuali yote kwa ufasaha mkubwa sana
Maalim seif najua unapita huku jamii forum kama hupitii basi wakupe ujumbe ya kwamba lililopita si mdwele tugange ya mbele.Rashid mmetoka mbali sana mlikua pamoja katika kkundi la vijana mliokua mkipinga msimamo ya Ccm kuhusu muungano ,mlifukuzwa Ccm nyote pamoja na pia mlipata vipigo pamoja
Onesha ukomavu wa kisiasa kama mandela alivo wasemehe maadui zake waliomtesa na kumdhalilisha na kuua watu wake na kusambaratisha familia yake. Wewe mwenyewe umufungwa na kuteswa na Ccm umedhalilishwa lakini umekubali kusamehe na kufanyakazi nao tena ukiwa chini ya Ukuu wao. Vipi ikushinde kuanzisha upatanishi na nduguyo mloteswa pamoja ?
Mtafute muungee Man to Man myamalize