Recent content by Crecent

  1. C

    wamiliki St Joseph University ni Mafia

    Ni kweli tulieni ma vyuoni kwenu na msome,acheni kujitetea kwa kuchemka kwenu,muda bado mnao kikubwa acheni starehe ma vyuoni ndo mtazikwepa sup..NIWATAKIE KITABU CHEMA WOTE. Nawasilisha,asanteni.
  2. C

    COET - UDSM yajitengenezea mradi wa Kinyemela

    Kila chuo lawamani aaah!!who is responsible to solve these institutions issue,waziri husika?lakini mbona hapo UCC kuna watu ninaowafahamu wamemaliza hapo na wapo kazini sasa,na wengine wamepita na wanajiendeleza kielimu kwengine.....acheni lawama someni vijana,comment za vyuo ni lawama tu!la...
  3. C

    wamiliki St Joseph University ni Mafia

    Mh!mtoa mada kama ni interview tu kwangu ameshindwa hayupo compitent....wamiliki wanatoa sup kwani hao ndo ma lecturer,vilevile hakuna wa Tz toka CoET,DIT wanaofundisha part time,kingine kimenifanya nijiulize mara useme watu wanapewa GPA kubwa wakati mada yako sup ni nyingi ili waingize fedha...
  4. C

    Jamani kuapply kazi serikalini na Masters ni kosa?

    My view:You are one of the great thinker in this Forum!!! God bless You.. 2TIMOTHY 4:22 (NIV)
  5. C

    Natafuta opportunity

    Salama mpendwa,mi pia nakushauri jaribu kutembelea site hizi Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info na brightermonday.com mara kwa mara unaweza kutana na post za elimu yako uka apply huwa mara nyingi nazikuta hizi...usikate tamaa hata kidogo wakati wako ukifika UTAPATA...
  6. C

    Is it African Gold Mine (AGM) or fraud?

    Pole kijana,Barrick hawana njaa kiasi hicho,ndio kwanza ukiitwa interview kule unaporudi huwa wana kurudishia gharama ulizotumia zote,usafiri,hotel nk....Matapeli wa mjini hao.,usije ibiwa ndugu.
  7. C

    Nafasi za Kazi TANAPA

    Ndugu,aaahh kama ni mtihani mbona Wengi mmefeli......DEADLINE HAMKUIONA AU?
  8. C

    Kwa mh.john mnyika

    Salamu Mh. Napenda kuchukua fulsa hii kuongea nawe kuhusu jimbo letu Ubungo,Mh. naomba utufikishie swala hili mahali husika,swala ni barabara ya Mabibo Mwisho hadi Kona ya urafiki,barabara hii muda si mrefu itapotea kwani imeharibika sana,yaani ni mashimo tu kuanzia hapo mahakama ya ndizi hadi...
  9. C

    Nafasi za kazi zoom zinaajiri kweli?

    Pole kijana,Ushauri wangu: Ukiona post kwao chukua details za wenye tangazo kisha tafuta means ya kutuma application yako,usitumie ile click to email yao,wengi wanalalamika juzi juzi kuna ndugu alipost namna alivyoikuta Cv ya mtu huko zoom ili kutumwa kwa hao waajiri ilikua mbaya uthibitisho wa...
  10. C

    TANAPA kunani?

    Asante!!!muulizaji atakuelewa, God bless You.
  11. C

    TANAPA kunani?

    Pole kijana!!!kwa taarifa nilizonazo Tanapa watu walishaanza kazi, so jaribu fatilia ujilizishe. All the best!
  12. C

    Nafasi za kazi za mining engineering

    Usihofu kijana,endelea kutafuta pia jaribu kucheki magazeti mara kwa mara hua naona Barrick wakitangaza,mara nyingine huwa wanahitaji watu wa diploma na technicians
  13. C

    breaking news-Nafasi za JKT zimetoka

    Thank You!!God bless You,ndugu wamekupata sasa.
Back
Top Bottom