Re: Certified copies of academic certificates

Insabhunsa Gusa

Senior Member
May 13, 2011
109
88
Wadau,

Naomba nifafanulieni kuhusu Certified Copies...Kuna baadhi ya watangaza ajira/kazi hutaka certified copies..Hii ina maaana gani?? Ni original copy iliyopigwa muhuri wa chuo au muhuri wa mwanasheria?? Naomba ufafanuzi, huenda ninakosa kazi kwa ajili hii..Mimi nikiapply kazi, hutoa copies za chuo na sekondari na kuambatanisha na letter of application basi, napeleka. Labda kuna jambo linatakiwa kufanywa kwenye copies za vyeti?? Nisaidieni leo jamani..,Kuna kazi nime apply na leo jioni ndo deadline, asanteni...
 
certified true copy of original....chukua vyeti vyako original,piga copies kadhaa then peleka kwa mwanasheria au hakimu
copies hizo pamoja na originals zake atakupigia muhuri kwenye copies hizo pamoja na kusaini.maana yake atakua amethibitisha hizo ni true copies of originals which you are ready to present in person upon request.
 
Mkuu umemaliza chuo gani? Nisamehe nimeshindwa kujizuia kuuliza swali hilo! Ninashangaa miaka yako yote ya kukaa chuoni hadi kupewa vyeti hujui maana ya certified copies zinazohitajiwa na waajiri.......loh.......hii ni indicator nyingine ya uduni wa elimu katika vyuo vyetu.
Wadau,

Naomba nifafanulieni kuhusu Certified Copies...Kuna baadhi ya watangaza ajira/kazi hutaka certified copies..Hii ina maaana gani?? Ni original copy iliyopigwa muhuri wa chuo au muhuri wa mwanasheria?? Naomba ufafanuzi, huenda ninakosa kazi kwa ajili hii..Mimi nikiapply kazi, hutoa copies za chuo na sekondari na kuambatanisha na letter of application basi, napeleka. Labda kuna jambo linatakiwa kufanywa kwenye copies za vyeti?? Nisaidieni leo jamani..,Kuna kazi nime apply na leo jioni ndo deadline, asanteni...
 
certified true copy of original....chukua vyeti vyako original,piga copies kadhaa then peleka kwa mwanasheria au hakimu
copies hizo pamoja na originals zake atakupigia muhuri kwenye copies hizo pamoja na kusaini.maana yake atakua amethibitisha hizo ni true copies of originals which you are ready to present in person upon request.


kweli watafuta ajira tuna kazi. kucertifie cheti kimoja Tsh 3000 manake muhuli au sahihi moja ya mwanasheria ni Tsh 3000. Assume kuna taasisi tatu zimetangaza kazi ainamoja na hayo ndo masharti. bado stamp, hela ya magazeti.

Kwakweli kazi tunayo.
 
kweli watafuta ajira tuna kazi. kucertifie cheti kimoja Tsh 3000 manake muhuli au sahihi moja ya mwanasheria ni Tsh 3000. Assume kuna taasisi tatu zimetangaza kazi ainamoja na hayo ndo masharti. bado stamp, hela ya magazeti.

Kwakweli kazi tunayo.

Usiogope. JF ni zaidi ya kununua magazeti. Pia kama unatafuta ajira nenda zilipo maktaba za mikoa unajisajili kama mwanachama halafu unakuwa unaenda kusoma magazeti yote yanayotoka kila siku kwa ada yako ya uanachama wa kudumu na kama wewe si mwanachama wa kudumu basi unaweza kenda kulipia uanachama wa muda tu yaaani kwa siku moja then utasoma magazet yote uyatakayo.
Tumi mbinu hiyo mimi ilinisaidia sana wakati nasaka kibarua nilikua ninaenda maktaba kuu DSM kwa wiki mara moja nalipia sh 1000 kwa kutumia maktaba kwa siku then nasoma magazeti yote yaliyotoka wiki nzima na Mungu alinisaidia nilipata kazi kupitia matangazo ya magazetini.
USIKATE TAMAA JARIBU KILA FURSA UIONAYO MBELE YAKO
 
kweli watafuta ajira tuna kazi. kucertifie cheti kimoja Tsh 3000 manake muhuli au sahihi moja ya mwanasheria ni Tsh 3000. Assume kuna taasisi tatu zimetangaza kazi ainamoja na hayo ndo masharti. bado stamp, hela ya magazeti.

Kwakweli kazi tunayo.


mkuu nakushauri hvi.Hzo kopi utakazopga muhuri wa mwanasheria zitunze na ikiwezekana zwekee lamination ili uwe unatolea kopi hzohzo kuzuia gharama za kugonga mihuri unapoomba kaz zingne.Nawasilisha
 
certified true copy of original....chukua vyeti vyako original,piga copies kadhaa then peleka kwa mwanasheria au hakimu
copies hizo pamoja na originals zake atakupigia muhuri kwenye copies hizo pamoja na kusaini.maana yake atakua amethibitisha hizo ni true copies of originals which you are ready to present in person upon request.

Jibu sahihi kabisa.
 
Usiogope. JF ni zaidi ya kununua magazeti. Pia kama unatafuta ajira nenda zilipo maktaba za mikoa unajisajili kama mwanachama halafu unakuwa unaenda kusoma magazeti yote yanayotoka kila siku kwa ada yako ya uanachama wa kudumu na kama wewe si mwanachama wa kudumu basi unaweza kenda kulipia uanachama wa muda tu yaaani kwa siku moja then utasoma magazet yote uyatakayo.
Tumi mbinu hiyo mimi ilinisaidia sana wakati nasaka kibarua nilikua ninaenda maktaba kuu DSM kwa wiki mara moja nalipia sh 1000 kwa kutumia maktaba kwa siku then nasoma magazeti yote yaliyotoka wiki nzima na Mungu alinisaidia nilipata kazi kupitia matangazo ya magazetini.
USIKATE TAMAA JARIBU KILA FURSA UIONAYO MBELE YAKO

watanzania kama wewe ndo wanahitajika,,,,,,umeweka pembeni lawama ukauvaa upambanaji,,,,karibu futari mlingotini,kesho itakua MSOGA
 
watanzania kama wewe ndo wanahitajika,,,,,,umeweka pembeni lawama ukauvaa upambanaji,,,,karibu futari mlingotini,kesho itakua MSOGA

Ni kweli kuwa kulalamika hakutasaidia kitu chochote jambo la kufanya ni kupambana na maisha....... mara nyingi vijana tunailaumu serikali kwa mambo mengi ya ajira, mikopo ya elimu ya juu n.k lakini tumesahau kuwa haya ni maisha ya mtu mmoja mmoja kila mtu apambane kwa namna awezavyo.
Umewahi kuwafikiria vijana waishio nchi za Somalia ambazo hazina serikali nzuri kwa karibia miaka 20 sasa lakini wapo na wanaendesha maisha yao na wengine wana degree zao pamoja na kuwa hawana stable government.
Wito wangu ni kuwa vijana we have to assume kuwa hakuna mtu wakutusaidia na km yupo anataka kutusaidia kwa maslahi yake binafsi hivo ni lazima tupambane
 
Maneno yako yamenigusa sana.
Dah, Mungu yupo lakini.
Inabidi mchakachue. Nenda mahakama ya wilaya, kamata karani mmoja mpe 10,000 afu muambie akugongee 15 copies. Nao wana njaa tu.
kweli watafuta ajira tuna kazi. kucertifie cheti kimoja Tsh 3000 manake muhuli au sahihi moja ya mwanasheria ni Tsh 3000. Assume kuna taasisi tatu zimetangaza kazi ainamoja na hayo ndo masharti. bado stamp, hela ya magazeti.

Kwakweli kazi tunayo.
 
Na kama mwajiri kwa nini umwombe mtu cirtified wakati utaziona original wakati wa interview au appointment kama unamchukua mwombaji aanze kupata cost kubwa kabla hata ya kazi application tu kuzituma zaidi ya 10,issue wanaongeza cost ?
 
Sio bei sana, Moro alfu 5000, vyeti vyote viwe hata 10, labda kila mkoa na bei zake.
 
Back
Top Bottom