Recent content by coyyote

  1. coyyote

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wadau, naitaji Internet kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, naishi mbezi Luis njia ya goba. Any leads will be appreciated Chief-Mkwawa donlucchese Mwl.RCT
  2. coyyote

    Ajali Kimara Mwisho: Lori limezuia njia

    Wadau poleni majukumu no straight to the point. Nimeona kuna lorry limepinduka maeneo ya Kimara na limeziba njia ya upande wa waendao Mbezi mwisho, sasa ndio nataka kuchomoka mjini na naomba kujua kwa aliyekuwa maeneo hayo vipi wameshalitoa? Ama nitafute njia mbadala.
  3. coyyote

    Naomba kujua Effectiveness za hizi mosquito killer lamps

    Vp mkuu, ipo effective? Nikiacha usiku kucha mbu wanaisha kwa sehemu kama chumbani ama bora nitumie rungu tu? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. coyyote

    Naomba kujua Effectiveness za hizi mosquito killer lamps

    Wadau, poleni kwa majukumu na mapambano dhidi ya adui covoid 19. Nimepitapita mitandaoni nikakutana na mtu anauza hizi taa hivyo nikaona nije mbele yenu kuomba ushuhuda wa mtu ambaye ameshawahi tumia ama anatumia izi taa za kuulia mbu kama je zipo effective kwa kuangamiza mbu ama ni porojo tu...
  5. coyyote

    Playstation official page wametoa muonekano wa Ps5 controller

    Naunga mkono hoja mkuu, namimi ni shabiki mkubwa sana wa XBOX controller jinsi inavyojaa mkononi, ila napendelea PS kwa sababu tu wana exclusive games nyingi nzuri. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. coyyote

    Playstation official page wametoa muonekano wa Ps5 controller

    Bloggers wengi wanadai haitokuwa tofauti sana na bei ps4 wakati ina launch, kwahiyo itakua kwenye $399 mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. coyyote

    Playstation official page wametoa muonekano wa Ps5 controller

    Wale wadau wa game, naona sony wameanza kudhihirisha polepole muonekano wa game yao mpya Ps5 baada ya kuanza na controller yake ambayo wameiita DualSense. Ps5 inatazamiwa kuwekwa sokoni kwa mara ya kwanza mwishoni mwa mwaka huu, Mnaionaje, maana mashabiki wameshaanza kusema Design language yake...
  8. coyyote

    Series (Special thread)

    Wadau, mwenye money heist season 1-4 msaada tutani tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
  9. coyyote

    Series (Special thread)

    Na mimi nahitaji hii kitu mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. coyyote

    Kero ya mitandao ya simu kugawa Number kwa mtu mwingine

    Umofia kwenu wakuu. Awali ya yote ningependa kuwapa pole kwa hili janga la Corona na tuzingatie utaratibu uliotolewa na wataalamu wa afya juu ya namna gani ya kujikinga. Twende katika hoja yangu. Kumekuwa na utaratibu wa mitandao ya simu nchini pindi Number ikawa offline kwa kipindi fulani...
  11. coyyote

    Sasa nimeelewa kwanini Penny na Kidoti walitoa mimba za Diamond

    Asee..! Kutoa mimba nako ni akili? Binadamu tumekuwa wanyama ivi?! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. coyyote

    Diamond enough is enough plagiarism is not legalised

    Mkuu, angalia walau basi uchumi wa nchi husika, kuna makampuni multi national mangapi yenye exposure world wide Na yanayotengeneza mkwanja mrefu kati ya Nigeria na Tanzania. Uchumi wa nchi kama Nigeria na South Africa makampuni yana uwezo mkubwa wa kutoa endorsement kwa pesa ndefu ata kwa...
  13. coyyote

    Marekani: Spika Nancy Pelosi achana nakala yake ya hotuba ya Rais Trump Bungeni

    Nancy Pelosi amechana nakala yake ya Hotuba ya Rais Donald Trump mara tu baada ya Rais huyo kumaliza kuhutubia Rais Trump alitoa hotuba kuhusu ‘State of the Union’ Bungeni mbele ya Wabunge walionekana kuipigia makofi hotuba yake Kwenye Kikao hicho cha State of The Union Bunge pia litajadili...
  14. coyyote

    Kisa cha Rich Mavoko na ushauri wa kuuza Ruby

    Lebel zote duniani ni za kinyonyaji, maana ata mase kampa kubwa aliyekuwa boss wake puff daddy pale badboys record kwa kumpa malipo finyu kwenye kazi zake. Sasa izi kelele za nini Sent using Jamii Forums mobile app
  15. coyyote

    Jeshi la nchi kavu la Iran ni la tano kwa uwezo mkubwa duniani

    Icho pia kilisemwa kuhusu jeshi la saddam Hussein Iraq wakati anataka vamiwa na Bush Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom