coyyote
Member
- Aug 12, 2018
- 53
- 88
Wadau, poleni kwa majukumu na mapambano dhidi ya adui covoid 19.
Nimepitapita mitandaoni nikakutana na mtu anauza hizi taa hivyo nikaona nije mbele yenu kuomba ushuhuda wa mtu ambaye ameshawahi tumia ama anatumia izi taa za kuulia mbu kama je zipo effective kwa kuangamiza mbu ama ni porojo tu?
Maana kipindi cha masika mbu nao wamekuwa wengi hivyo ili kujikinga na malaria pia ni muhimu kuwateketeza ndani ya nyumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepitapita mitandaoni nikakutana na mtu anauza hizi taa hivyo nikaona nije mbele yenu kuomba ushuhuda wa mtu ambaye ameshawahi tumia ama anatumia izi taa za kuulia mbu kama je zipo effective kwa kuangamiza mbu ama ni porojo tu?
Maana kipindi cha masika mbu nao wamekuwa wengi hivyo ili kujikinga na malaria pia ni muhimu kuwateketeza ndani ya nyumba.
Sent using Jamii Forums mobile app