Vijana Watatu (Majina name umri havijapatikana) wamekamatwa na madawa ya kulevya yanayosadikiwa kuwa Bangi yaliyokuwa yakisafirishwa kwenda kujibu Dar es Salaam. Madawa hayo yalipakiwa katika Basi number T 931 CGU la kampuni ya New Force iliyokuwa inatoka Kahama kwenda Dar. Madawa hayo yalikuwa...
Nimekulia katika jamii ya kitanzania ambayo viongozi wetu wa kisiasa sio tu wana nafasi kubwa katika nchi yetu bali hata katika Maisha binafsi Ya watanzania.
Jambo ambalo naliona mimi ni ile nafasi tuliyowapa wanasiasa katika Maisha yetu hawaistahili (not worthy) au niseme tumeitegemea sana...
Nakubaliana na wewe mkuu hapo, nimequote Mat 4:12 alisita kumbatiza Yesu. Reason why alidoubt Kama ndiye sijui, labda kuna namna alivyokuwa ana perception ya masihi kichwani ikawa tofauti. Ukisoma "the killing of Jesus " wanasema wayahudi wengine walimkataa Yesu kwa sababu walitegemea masihi aje...
Now we are talking, Yohana alimkubali but wayahudi wengine walimkataa probably coz wamestick kwenye their traditional way of worship. Sababu hyo hyo inawezekana Mpaka leo hawajamkubali. !!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.