Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
kama lipi ambalo limetimia?.ukisema isaya kuhusu yule mtoto emanuel huo unabii haukumuhusu yesu ndo maana hata yeye hakupatwa kuitwa emanuel.unabii ulimhusu mtoto wa king Ahaz lakini wakapitishiamo kuwa ulimhusu yesu.
Mkuu unabii Wa kumuhusu Yesu haukutimia huo Wa jina la Emmanuel? Huyo mtoto Wa Mfalme Ahazi alikua aje awe nani Km huo unabii ulikua unamhusu yeye?