Recent content by Corona2020

  1. Corona2020

    Wanaume tushikamane. Hawa wanawake watatuua watumalize. Nawe unapigwaje umetulia?

    Alitakiwa amalizie na 619 ya rey Mysterio 😂😂😂 ulale miezi miwili ndani
  2. Corona2020

    Engine ya gari kutoa sauti Kali unapopita kwa speed Kali kwenye rasta

    Nashukuru mkuu. Nilishaenda kwa fundi alikuta ni engine mount ndo imevunjika. Kuhusu kuzima gari ilikuwa ni fuse kuloose ikawa hata switch on inapotea. Ili niliweza kuling'amua nikiwa safarini
  3. Corona2020

    Engine ya gari kutoa sauti Kali unapopita kwa speed Kali kwenye rasta

    Nashukuru mkuu. Nilienda kwa fundi alikagua na kukuta engine mounting imekatika. Nilibadilisha Sasa hivi Iko poa kabisa
  4. Corona2020

    Engine ya gari kutoa sauti Kali unapopita kwa speed Kali kwenye rasta

    Heri ya Christmas na mwaka mpya. Wakuu Leo nilikuwa na safari ndefu kidogo Sasa nilikuwa nilikuwa natembeza kachombo kangu kwa speed. Baadaye nikaanza kusikia mlio mkubwa wa kugonga kwenye engine nikipita kwenye rasta kwa speed. Kausafiri kalizima Kama mara moja kutokana na iyo hali. Je...
  5. Corona2020

    TANESCO wanastahili kushitakiwa!

    Hawa viongozi wakiwa kwenye majukwaa ya siasa wanajinadi tunajenga uchumi , wakati huku kitaa watu watu wanapoteza mitaji yao kwa kukosa umeme . Inaumiza sana kwa kweli
  6. Corona2020

    Shahrukh Khan anakwenda kupiga Hattrick yakibabe kuwahi kutokea kwenye Filamu Bollywood

    Hiyo 3 idiots nimeshaingalia karibu mara 20 bonge la movie
  7. Corona2020

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkuu Mimi nilikimbia umande. Hivyo hiyo poop ndo kushusha makimba
  8. Corona2020

    Nimeweka Engine Oil 20w-50 X-trail NT30 (2003) nipo sawa?

    Mkuu hii ya Castrol 5w30 Lita nne zinaenda kwa sh ngapi
  9. Corona2020

    Nina muda sijapata gono

    😂😂😂😂 Usagara hiyo. Ninishakujua we jamaa tulisoma wote na hiyo story naikumbuka 😂😂😂
  10. Corona2020

    Fao la uzazi kwa wanaume PSSSF

    Kuzaa azae mwanamke wewe dume uombe fao la uzazi. Huko maofisini Kuna dilidili tunazipatapata, Sasa mwanamke akiwa nje ya ofisini hakuna atakachopata, hiyo ndo inafidiapo ilo gepu.
  11. Corona2020

    Whozu afungiwa miezi 6, Mbosso na Billnass wafungiwa miezi 3. Wote wapigwa faini Tsh. Mil. 3. Wimbo wa 'Ameyatimba' umewaponza

    Kwa hiyo BASATA Hawa wasanii wanao jichangachanga ndo chanzo Cha mapato yao.
  12. Corona2020

    Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

    Tunamuomba tu asianzishe tena Hilo zoezi 😂😂😂
  13. Corona2020

    Kweli Iran ni superpower; tamko moja tu tayari wazungu washaufyata

    Asante mkuu kwa kufahamu ukweli. Kuna watu wamejazwa propaganda na wamekariri hivyohivyo
  14. Corona2020

    Kipindi cha Michezo cha EA Radio cha Usiku huu wana maana gani Kuanza Kipindi chao na Wimbo huu wa Christian Bella?

    Kuna mabishoo kutoka mjini wamefungiwa kwenye majaruba ya mpunga ubaruku wanang'olea magugu
Back
Top Bottom