muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,054
- 994
Wanabodi, hivo ni sababu vipi zenye akili zilizoplekea sisi WANAUME tunyimwe FAO LA UZAZi katika mfuko was hifadhi ya jamii?
Wenye mamlaka wanakuja na hoja dhaifu kabisa kua ....eti nyie wanaume mkiruhusiwa kupata hili FAO LA UZAZi Kila siku utakuja ukipeleka taarifa za kuzaa watoto wapya.
Suala la msingi hapa ni kua kuwekwe ukomo,,,yaani mwanaume ataruhusiwa ama atalipwa FAO hili pale tu itakapotimiza interval ya miaka mitatu na akilefa document zikaguliwe Kwa ufasaha zaidi kuona Kam hakuna Udanganyifu.
Maswali ni mengi sana ya kujiuliza ni sababu vipi hasa zinazo sababisha sisi WANAUME kukosa FAO hili ?
Nawasilisha
Wenye mamlaka wanakuja na hoja dhaifu kabisa kua ....eti nyie wanaume mkiruhusiwa kupata hili FAO LA UZAZi Kila siku utakuja ukipeleka taarifa za kuzaa watoto wapya.
Suala la msingi hapa ni kua kuwekwe ukomo,,,yaani mwanaume ataruhusiwa ama atalipwa FAO hili pale tu itakapotimiza interval ya miaka mitatu na akilefa document zikaguliwe Kwa ufasaha zaidi kuona Kam hakuna Udanganyifu.
Maswali ni mengi sana ya kujiuliza ni sababu vipi hasa zinazo sababisha sisi WANAUME kukosa FAO hili ?
Nawasilisha