Chuakachara mie nikipewa nafasi hakika nitakula kwa urefu wa kamba yangu lakini nikipata ajali za kisiasa kama mzee wa mvi nitanyamaza. Sasa hiki kijeba hakiachi kelele wakati mwenyewe umekiri kalikula. Sasa mkuu unasemaje???
Anza na kupima bikra yako kama ipo basi endelea na mipango ya kujipima ukimwi maana kwa umri na wako unaweza kuwa ulizaliwa na hiv kama uko safi basi mi pia nakuunga mkono mipango yako
Mi nawaona hawafai kwa hii ya sim banking. Nimefanya transaction hadi wiki nzima hawajaeffect transaction afu kwenye account yangu wamefyeka pesa. Afu sim banking ndo wimbo wao. In short ni wezi hawafai.
Nyanidume just excuse me I thought I was arguing with a man. Just realized you are a mammalia resembling humans. Your thinking capacity is below zero your higher centers weighs 20 gms or less! ! Shame upon you
Ni mbaya mkuu lkn mbaya zaidi ni kutangaza. Kama unabishi basi unyooshe mkono uape kama wakati unasoma hukufanya ngono. Km ulifanya basi utulie huyu kapata matatizo ya teknolojia tu lkn naye alikuwa anaburudika km ulivyokuwa unafanya wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.