Planner
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 348
- 148
Nimeagiza gari kupitia kwao limefika bila tatizo
Nakubaliana na wewe asilimia zote!
With empirical evidence; nimeagiza gari kutoka BF Japan,nimewaachia BF Tanzania process zote,nimelipata gari langu on time-no storage charges,no extra charge...no what! Niliwatumia hela zote kwa kila hatua wao wakaniambia niende tu kuchukua gari pale ofisini kwao ,
siujui mlango wa TRA wala Bandari i just played with their CRDB bank account,nilifanya hivyo ili kujiridhisha na baadhi ya allegations zilizomo humu kuwa clearing service yao ni mbaya!
My take: Si vizuri kuchafuliana kazi kwa kigezo cha biashara ya ushindani-hata kama ulipata tatizo usifanye generalization just provide feedback ili wajirekebishe au uwaripoti Japan.
Kama huamini hayo ni-PM nitakupa facts!:cool2: