Nikweli hili swala linafikirisha sana kiasi kwamba unjiuliza maswali mengi yasiyo na majibu mfano aliawaza nini mpaka akaamua kujiita yeye ni mungu wakati anajua wazi amezaliwa na ana wazazi hapa duniani je analizungumziaje jambo hili!?
Utawezaje kwenda peponi kabla ya kufa? Na utawezaje kushiriki mashindano ya kimataifa Kama hujachukua ubingwa? Historia ya nyuma inakupa nafasi gani kushiriki mashindano ya Sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.