Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,362
- 8,836
Picha iko wap? Tuone tabia
Hahahahaha duh this is jfNaomba kujitolea kwanza
Mtu mwenyewe ni single mother,, imeweka standards kibao as if ni bikraSifa zangu
Umri: miaka 34-35
Dini: Mkristo
Elimu: Shahada ya uzamili
Ajira: Mwajiriwa wa serikali
Urefu: 161cm
SIFA ZA MWANAUME
Umri: 35-45
Kabila: Lolote
Rangi: Yoyote
Elimu: Shahada na kuendelea
Kazi: Uwe mwajiriwa wa serikali
Dini: Mkristo
Uwe mkweli.
Uwe tayari kupima HIV
Watoto: Ukiwa na watoto ni sawa sababu mimi nina mtoto mmoja.
NB: kama hauna vigezo usije pm
KWa umri huo ulionao wewe ndo unatakiwa uandike sifa zako nyingiiiiiiiiiii kuliko za unayemhitaji..ukifuata ushauri wangu utanishukuru baadayeSifa zangu
Umri: miaka 34-35
Dini: Mkristo
Elimu: Shahada .....
Ajira: Mwajiriwa
Urefu: 161cm
SIFA ZA MWANAUME
Umri: 35-45
Kabila: Lolote
Rangi: Yoyote
Elimu: Shahada na kuendelea
Kazi: Uwe mwajiriwa wa serikali
Dini: Mkristo
Uwe mkweli.
Usiwe mlevi.
Uwe tayari kupima HIV
Heavy weightUzito?
Chura ipo?65kg
AiseeeeNasubiri ufike 40 utauza kwa bei ya hasara kunusuru mtaji wako.
Pwahaahaha!!!Naomba kujitolea kwanza
😀 😀 😀 Internship kwenye mahusiano mkuuNaomba kujitolea kwanza