Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
Pole sana.Airtel wamenipigia ikifika 31 Dec 2019 sijasajili alama za vidole line itafungwa.
Sijui wanataka kunifanyia mnachosema?
Mimi niko kitandani nimepooza miguu japo naongea na kuandika watakuwa hawajanitendea haki waje hapa kitandani wachukue alama zao.Mimi ni mteja wao toka wanaitwa Celtel-Zain-Airtel au lugha nyepesi toka waje nchi hii nimewachangia mno.