Recent content by Consalvius

  1. C

    Kwenu wanaume wenzangu wooote!!

    Hili nalo neno!!
  2. C

    Mmiliki wa Lushanga Bus Services Limited afariki Dunia

    Niombe radhi kabla sijaamua kuitisha maandamano ya Wakinga.
  3. C

    TANESCO, Mgao wa Umeme waanza kinyemela?

    Ilala pia hatuna umeme toka asubuhi!!
  4. C

    Wadau: NYUMBA ZA MKOPO ZILIZOPO BUYUNI CHANIKA..HIZI HAPA.!!!

    Hizi nyumba si kila mtu anaweza kumiliki,lazima Uwe mwanachama!tena uliye changia zaidi ya miaka mitano!!.Sasa basi kwa sisi wananchi wa kawaida! ambao siyo wanachama,ngoja tusubiri na sisi nyumba zetu!! Tutajengewa tu tusihofu!!.
  5. C

    Tra,hili halikubalik!!!!

    Bado nayakumbuka sana maneno ya baba wa Taifa!!:nanukuu!(Nchi corrupt hazikusanyi kodi,zinabaki kufukuzana na vitu vidogo mabarabani basi)mwisho wa kunukuu!! Sina hakika sana kama wafanya biashara wakubwa wanaweza kufanyiwa kitu kama hicho!! Lakini cha msingi hapa ninachoshauri ni kwamba,si...
  6. C

    Tinted zinaongeza uhalifu, zipigwe marufuku

    Ila ukimpata mke au mume wa mtu ndo utaona raha ya tinted! wanaoiba wake za watu au waume za watu,wanajua ninachomaanisha!!
  7. C

    kwa wapenzi wa Ulanzi WANYALUKOLO

    Du!umenikumbusha mbaali! hadi kiu ya ulanzi imenishika ghafla! Ngoja nifanye mpango nipate japo lita moja!!!
  8. C

    Magorofa kariakoo ya wasomali

    Mimi naona swala la msingi hapa, Hawa Wasomali wanaingia nchini mwetu kwa kufuata sheria za nchi? Vinginevyo amini usiamini lipo tatizo! na hili si kwa Wasomali tu ni kwa wageni wote! Kuna watu wanatetea kwa nguvu zote! ni lazima wafikiri Mara mbili Kama jambo wanalotetea lina masilahi Kwao na...
  9. C

    Vitambulisho vya Taifa kutolewa wiki ijayo

    Wataanza kugawa vitambulisho siku Saba zijazo!! Samahani naomba kujiuliza, si walisema kuna zoezi la picha na kuchukuliwa Alama za vidole? Zoezi hili limefanyika? au liliwahusu wakubwa tu? Samahani lakini!!
  10. C

    bila kuwaona hawa huwa siangalii bunge.wewe je?

    Mimi nadhani Kama huna mchango kwenye hoja husika, ni busara pia kubaki kimya! kuna watu wengine wanatuchanganya sana humu jf.
  11. C

    Tabia hii ya Ufoo Saro wa ITV ni uandishi wa habari au nini!

    Ni kweli alikuwa Ufo saro? siamini sana!
  12. C

    Hussein Ramadhan'Sharo Milionea' aibiwa nguo zote alizokuwa amevaa kabla ya ajali.

    Mwaka 2010 mwezi wa 10 nikiwa natoka Tabora nilipata ajali katikati ya Morogoro na Dodoma, Ilikuwa muda wa saa 10.45alfajiri,nilichoshangaa ndani ya dk 10 watu walikuwa wameshajaa eneo la tukio, watu wa eneo lile ni watu wapekee sana kwani walinisaidia sana pamoja na wenzangu nilioongozana nao...
Back
Top Bottom