Kwenu wanaume wenzangu wooote!!

Kwenu wanaume wenzangu wooote!!

THENKIU SOO MACHI MDAU!!!!!!!!!!!!!!

Ladies this calls for some serious ATTENTION and RELAUNCHING!!!!!!!!!!!!!! Its time you re-invest yourself.

WANAWAKE WENZANGU

1.Never ever trust a man! Mtu unaambiwa baba ndo Mungu wako 2 wa duniani, afu mungu huyo muwakilishi wa duniani unaemuona kakukataa, wengine wapo kiushahidi tu. wengine ndo vile maza kinganganizi lasivo ....... are you still believing????? Dont even try to relate Our mighty father in heaven with these excuse of fathers of this world! Trust me if you think critically the church wont see ya sorry a.ss for a longtime.

2.Usizae kumtegemea mtu! Utapaukaje sasa? Afu its very selfish of you kumleta mtu duniani afu hujui utamuwezeshaje aishi comfortably? I dont know abt u guys but for me it being over selfish.

3.Pray harder mpate watu mliopangiwa na Mola! I have stopped believing in Husband sent from the above for u since ages ago! And i seriously dont believ an excuse of a husband/man can ever change! A leopard can change its sport but certainly not spots!!!!!!!!!!!! Not to mention mtoto wa nyoka ni ...........!!!!!!!!!! (You dont have to agree with me they say IF U BELIEVE ANYTHING CAN HAPPEN!)

We lara 1 mbona hiyo ya 1 na ya 3 zinapingana vile...
 
kuna ukweli fulani ndani yake ila ni scenario mojawapo ktk maisha.....kwa yule itamtokea hivyo kwa mwingine mimba ikiingia wanaanza vikao vya harusi,...Pole yake
 
Nimekupendaje kwa maneno yako?????Kuna bazazi mmoja natamaaaani ningejua ID yake humu jamani mwee!!Kaoa juzi juzi tu hapa, kamzalisha mtoto wa watu afu ati sio chaguo lake, kha!!!!!Wanaume wenye tabia hii kweli ni janga kwa taifa letu!
 
pole bwana, najua inapokuwa ngumu kulea mtoto ukizingatia upo na mdogo wako umsomeshe alafu mtu anatia mimba.. pole kwa kulea...
 
Mimi nilimmimba alafu akanikimbia...nitalalamikia wapi bwana revocatus kashego!??
 
Last edited by a moderator:

Umemdanganya mtoto wa watu unampenda, akakuamini, akasahau hadi tarehe akaona zote ni February 32.

Umempa mimba mtoto wa watu mzuri tu, amehenyeka na mimba miezi 9 amekuzalia mtoto..

Ghafla umemtelekeza eti huna plan nae, eti sio chaguo lako, eti mimba ni bahati mbaya tu hukupanga...

Uongo mtupu na ghiliba za nyani mzee. Ulivyokuwa unapewa tunda
bure, unakatika kwa spidi kama umefungwa injini ya boti ya Horsepower 6 ulitegemea nini?

Mbona wanaume tunakuwa migumegume hivi lakini?

Mtoto wako mwenyewe hata hujui anakula nini, anavaa nini.......kweli?

Unatanua na mademu wengine
mwanao hujui anaumwa, katibiwaje, kapona au lah kweli?

Mngefungwa uterus japo mkae na mimba wiki 3 kama panya mngejifunza kuacha upuuzi huu.

LEA DAMU YAKO,we si kidume?
Wanaume wa dizaini hii ni aibu kwa taifa. Ukijifanya Fundi wa kukatika kama Fally Ipupa uwe pia fundi wa kulea!

Ukichukia Poa tu lakini mi nimemaliza.
mi siwalaumu wanaume nyie there a saying goes like this"a man can sleep with even 100 women and love non . asa kama ndo hivyo when a man sleep with a woman mostly they intend it for tension release, having fun they don't intend to impregnant any asa kazi kwa akina dada wanaojitegesha mimba wakati jimbo halina mgombea
 

Umemdanganya mtoto wa watu unampenda, akakuamini, akasahau hadi tarehe akaona zote ni February 32.

Umempa mimba mtoto wa watu mzuri tu, amehenyeka na mimba miezi 9 amekuzalia mtoto..

Ghafla umemtelekeza eti huna plan nae, eti sio chaguo lako, eti mimba ni bahati mbaya tu hukupanga...

Uongo mtupu na ghiliba za nyani mzee. Ulivyokuwa unapewa tunda
bure, unakatika kwa spidi kama umefungwa injini ya boti ya Horsepower 6 ulitegemea nini?

Mbona wanaume tunakuwa migumegume hivi lakini?

Mtoto wako mwenyewe hata hujui anakula nini, anavaa nini.......kweli?

Unatanua na mademu wengine
mwanao hujui anaumwa, katibiwaje, kapona au lah kweli?

Mngefungwa uterus japo mkae na mimba wiki 3 kama panya mngejifunza kuacha upuuzi huu.

LEA DAMU YAKO,we si kidume?
Wanaume wa dizaini hii ni aibu kwa taifa. Ukijifanya Fundi wa kukatika kama Fally Ipupa uwe pia fundi wa kulea!

Ukichukia Poa tu lakini mi nimemaliza.

Kaka kumbe hata huku huwa unakatizaaa eeehhh.. Nimekupendajeeeee! Hebu njoo PM nikupe zawadi yako!!!
 
waambie tu jamani hao waongo liwaguse hehe
 
THENKIU SOO MACHI MDAU!!!!!!!!!!!!!!

Ladies this calls for some serious ATTENTION and RELAUNCHING!!!!!!!!!!!!!! Its time you re-invest yourself.

WANAWAKE WENZANGU

1.Never ever trust a man! Mtu unaambiwa baba ndo Mungu wako 2 wa duniani, afu mungu huyo muwakilishi wa duniani unaemuona kakukataa, wengine wapo kiushahidi tu. wengine ndo vile maza kinganganizi lasivo ....... are you still believing????? Dont even try to relate Our mighty father in heaven with these excuse of fathers of this world! Trust me if you think critically the church wont see ya sorry a.ss for a longtime.

2.Usizae kumtegemea mtu! Utapaukaje sasa? Afu its very selfish of you kumleta mtu duniani afu hujui utamuwezeshaje aishi comfortably? I dont know abt u guys but for me it being over selfish.

3.Pray harder mpate watu mliopangiwa na Mola! I have stopped believing in Husband sent from the above for u since ages ago! And i seriously dont believ an excuse of a husband/man can ever change! A leopard can change its sport but certainly not spots!!!!!!!!!!!! Not to mention mtoto wa nyoka ni ...........!!!!!!!!!! (You dont have to agree with me they say IF U BELIEVE ANYTHING CAN HAPPEN!)

Wanawake mtaendelea kuangukia pua, kwa sababu watu wanaotaka kuwaoa kweli hamuwataki, na wale wanaowadanganya ndio mnaowakubali.

Sasa na sie wanaume siku hizi tumeamua kuja na gear za uongo! Kuna jamaa yangu aliniambia mwanamke ukimwambia ukweli haumpati ng'o, ila ukimdanganya anakubali fasta! This has been tested and worked for decades! Amini usiamini!
 
Watoto wenyewe ndo tatizo, wanapenda kula gud time na kutoa mtandao wa bei nafuu..!
 
^^
Hapo no 1
Wapo tunaoaminika lakini kwa kuwa kutoaminiana kumezidi,,tumepakwa jivu tu hatuonekani.
Hapo no 2
Kama mimba umepata usiitoe kwa kisingizio cha kukosa matunzo ya baba wa mtoto.Tenda fadhila kwa kutimiza agizo la Mungu.
^^

Kwanini upate mimba?
 
Mbaya zaidi mtoto akikua linajitokeza na kudai damu yake,inauma sana sema huwezi fanya lolote coz ukiangalia kweli damu yaani inaumiza sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom