[ Niliwahi kuwa na kamachumba kamasikini, kananuka shida nikikavumilia. Nilipauka acha kabisa.Alivyopata hela sasa nilimwona!!!?Kwanza hiyo Siku nikasema mwanaume asiye na pesa apite kushoto]
....Sasa Cute b hadi ukapauka, je wewe mwenyewe hukuwa unajitafutia pesa either kwa ajira au hata...
=== Zaburi 1:1 - 10 Heri yule asiyekwenda ktk njia ya wasiyo haki wala hakuketi barazani kwa watu wenye mizaha njia ya Bwana ndiyo huitafakari mchana na usiku. Atakuwa kama mti ulopandwa kandokando ya kijito cha maji, majani yake hatanyauka wakati wa khali. Kila alitendalo litafanikiwa(...
Wewe mdada una akili sana, wanawake wenye mawazo kama haya hawazidi hata 0.5%. wenyewe wanawekeza ktk vitu ambavyo si assets( Income generating investments), badala yake wanawekeza ktk liabilities.
Bravo. Nimekupenda bure.
["miss chagga, post: 15286201, member: 148879"]mapenzi hayana mwenyewe waweza penda kijana au mzeee ...... maneno yako ni kuntu mabinti mjini tunaruka ruka kama kunguru anayetafuta mzoga upo wapi ]
Miss chagga nimekupenda bure, you said it all. Comment zako huwa zinakuwa balanced, hupendelei...
[The Boss;14507126]Shida ya wanawake....ni kuwa wanadhani siasa ni kama Simba na Yanga.....
so wanafikiri ni utani utani.....tu]
Mkuu siasa inagusa maisha yetu directly, sasa kama wanawake wanachukulia utani utani basi hawa si binaadam km sisi, nadhani wameumbwa kwa tofauti sana.
Kwa kweli...
Mkuu njo Azania bank, tuna new product inaitwa Dhamira Account, unakuwa unaweka kiasi unachakitaka kila mwezi na kila mwezi utapewa interest ya 8%.Hii account utakuwa naweka tu bila kutoa.Iki mature unapewa pesa zako zote pamoja na accrued interest yako ile 8% Per month. Kama upo Dar es Salaam...
[Mimi napenda sana kuangalia Bella Naija wedding...yani utadhani nataka kuoelwa mara ya pili...nasoma love story za watu...naona wanao propose na ma BMW X6 na wanaowaoa utashangaa ni wa kawaida si Kim K type...unajiuliza huyu mwanaume na miela hii si angeoa mwanamke yeyote tena mzuri kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.