Kuchagua kwingi na kuwa "too expensive".
Ex wangu ambae we are still in good terms, we talk mara kwa mara, imefikia kipindi nikamwambia usipoangalia utabaki home!
Kwanza she is very pretty halafu kichwani ndio usiseme,at 26yrs tayari kana MBA, mwanaume ataanzia wapi hata kumsalimia? Mwanaume ambao at least wanaweza kwenda nae sambamba, wale ambao wanamwona wa level yao wote wameshaoa. Mara ya mwisho I know, she was dating a married man. Unaanza kujiuliza, kweli kakosa wanaume single vijana? Me nilimwambia, by dating older men kama hivyo you are scaring potential serious men who would like to be with you. Atakwambia, sijapata mtu tunaye-match i.e still looking for perfect match. He has to be tall, not necessarily successful but must ambitious and intelligent. Nilikuwa nafit ila tulishindwana because she was a control freak. I got another woman na muda si mrefu Mungu akipenda tutafunga ndoa.
Lakini my Ex hajui tu kwamba miaka inaenda and she is becoming more powerful with her education and job position which makes her more "simuwezi" among potential suitors, atakuja kutahamaki she is 30 na wanaume wanangalia wadogo zake.
Matatizo yao ni yale yale, kuchagua kwingi na wakati mwingine kuwa na mafanikio sana. As my cousin sister wangu alivyokuwa anamshangaa best yake ambae hajaolewa, "Binti hujaolewa, unanunua Prado tena la milango sita!!"