Recent content by Como

  1. C

    Halima Mdee hana jipya

    barabara za mbezi bado ni tatizo, maji salalasala na kinzudi pia ni muarobaini.Mheshimiwa ps take note maana 2015 si mbali.twajua wafanya kazi mazingira magumu lakini tembelea wapiga kura wako hasa hayo maeneo na naamini yako mengi huku jimbo la Kawe . Kumepoa Mheshimiwa
  2. C

    Nini hasa siri ya kuachwa kwa ole medeye.?

    Heard of clip....na yule wa mifugo ambaye haonekani jimboni...bad timing to OM....
  3. C

    Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

    msukuma unayemsema alikuwa anaitwa suleiman matusela kamando..alisamehewa na ameshafariki...aliyetorokea kenya na Uk ni Lugangira..ameshafariki....alitokoroka na ex -pilot/comandoo akitwa Hatii maghee-alishikwa na kurudishwa keko.wengine pia walisamehewa na wameshafariki....pope alikuwa kikosi...
  4. C

    RC KAGERA asema Tanzania Daima linapotosha kwa kuandika udaku

    Cag tegua kitendawili.....
  5. C

    Usiri wa afya za wanasiasa unakwamisha jitihada za kuutokomeza ukimwi!

    Whatever our role in life, wherever we may live, in some way or another, we all live with HIV. We are all affected by it. We all need to take responsibility for the response. --BAN Ki-moon, Secretary General
  6. C

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    Lakini huwezi kuwapeleka viongozi wako kortini na bado ukaendelea kubaki kuwa mwanachama wetu.” .............aone Hamad Rashid & yule swahiba wake wa NCCR wanaishije nowadays VS vyama vyao God Bless Tanzania...Tunashida nyingi za kushughulikia as country
  7. C

    Kesi ya Zitto vs CHADEMA:Kuna mazingira yanaandaliwa ku-influence uamuzi wa mahakama

    Zitto ni wakala tu. Na Tutawashinda wote.
  8. C

    Viongozi wa CHADEMA mtaacha lini vituko?

    mbona tuliwahi pewa namba za wakuu wa polisi? wakumbuka?
  9. C

    Slaa awalipua Rostam, Riziwan

    si lazima yeye aende mahakamani...ame whistle blow na sasa ni kazi ya dola kuthibitisha mbivu na mbichi...
  10. C

    Mtoto wa kapuya na mauaji ya mwanafunzi Tabora: Ukweli ni upi?

    jamani magazeti yanatuangusha-professionalism ,kwani kwenye gazeti hilohilo kwa ndani habari imegeuka.... hii inafanya kila mtu atake kuwa na gazeti lake
Back
Top Bottom