Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
- Thread starter
- #41
Sawa kachukue mshahara wako lumumba makosa mliyofanya Ccm kwa miaka 50 mnataka chadema wayamalize kwa miaka 3 hilo aliwezekani na kama wewe ni mwana kawe utakuwa ni shahidi Mdee amejitahidi sana kuboresha miundomini afya na elimu bila kusahau mgogoro wa ardhi huko twiga cement
Mdee hana uwezo wa kuboresha miundo, afya wala elimu ila ni serikali pekee. ukisema ni mdee nitakuuliza pesa ametoa wapi?