RICARDO KAKA
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 865
- 337
lakini kwanini huyu jamaa asianzishe chama chake, maana anaonekana ana wafuasi wengi sana!
Toka usingizin wewe zombi... Na mtatumika mno..
lakini kwanini huyu jamaa asianzishe chama chake, maana anaonekana ana wafuasi wengi sana!
Naomba niseme tu yaliyokuwa yanaendelea na yanayoendelea mpaka muda huu kuhusu kesi ya Zitto nje ya mahakama na hata kupitia baadhi ya vyombo vya habari, ni mkakati wa makusudi wa maadui wa CHADEMA wanaojifanya ni wapenzi na mashabiki wa Zitto wenye lengo la ku-influence mahakama itoe uamuzi unaolenga kumbeba Zitto.
Zitto kama Zitto hawezi kuwa na nguvu kiasi hiki na isitoshe jambo hili linahitaji matumuzi makubwa ya fedha na rasilimali watu.Huu bila shaka ni mkakati unaoungwa mkono na baadhi ya vyama vya siasa na matajiri "uchwara" kadhaa wa ndani ya nchi.
Haihitaji kuwa na degree kubaini ukweli huu bali ni swala la kusoma ushahidi wa kimazingira tu(circumstantial evidence)
CHADEMA,kwa sasa adui yenu si Zitto tu,bali adui yenu mkubwa ni mtandao ulio nyuma ya Zitto.
Kha! Unachekesha kweli! Basi Mungu wako wa ajabu kweli.zitto akishinda nikwanguvu za giza tu. chadema tunaamini mungu atasaidia.tunatambua uwepo wa mtandao wa zitto unaundwa na maccm na wengine wasio penda haki hapa tz
cuf na ccm jana wameleta wafuwasi wao kwa kuwavesha kofia za chadema na kuwapa bendera za chadema, kwa nguvu inayo tumiwa na ccm na serekali yake dhidi ya chadema, chadema kina itaji nguvu ya mungu ili kupona.
We Kweli kbosho , tulia tu , nguvu ya mungu yaani huyu huyu anaechukia wazinzi, wezi , wajikwezao, wafilaji, waongo na wasengenyaji?
Labda mungu wa kibosho[ haya tutaona leo/QUOTE]
Zitto ni wakala tu. Na Tutawashinda wote.