Recent content by Commitment

  1. C

    Nionavyo mimi: Pinda si mtoto wa mkulima

    Nawasalimu ndugu zangu tena poleni kwa uvumilivu na nstaaratu mkubwa kutokana na majanga tuliyo nayo. Binafsi nimekuwa najiuliza kama Pinda ni mtoto wa mkulima kama ambavyo wengi wanamuita. Nimegundua si mtoto wa mkulima baada ya kuangalia utendaji wake dhidi ya wakandamizaji wa watoto wa...
  2. C

    Naliona anguko la Kibanda

    SITTA SHUJAA WA WATANZANIA. Nampongeza sana kwa kuwa ndiye mtu pekee anayesimamia ukweli mpaka sasa. Najua fika kuwa sita analijua suala la DOWANS vizuri kuliko mtu yeyote. DOWANS ni mafisadi wapo hapa hapa na pengine wapo ikulu. Ipo siku watachomwa moto kule mbinguni mana mungu...
  3. C

    Tanesco mtatumaliza hivi

    MDUU ALIYEMSHINDA KIKWETE Tanesco walizungukwa na mafisadi na baada ya kujua watawalipa wakahamua kupandisha umeme ili wapate hela za kurudisha pale wata kapotoa zile bilion. Namshangaa sana Fisadi pinda kwa kusema eti viongozi wa dini wakae wajadili amani, pinda ndie fisadi kuliko...
  4. C

    Biashara ya kuni/mkaa kurudi kwa nguvu: Gesi imepanda maradufu ndani ya wiki moja!

    Ndugu zangu nawasalimu, najua sote tu wazima na tunaendelea kufikiri jinsi ya kuisaidia nchi. Jamani mtungi umepanda bei na kuwa sh 70000. Naomba wanaotumia gesi watupe takwim ili tujua kama ni kweli. mapendekezo: kama ni kweli naomba mara moja tuitishe maandamano nchi nzima kama...
  5. C

    GE2010 Matokeo ya awali jimbo la Kilombero na matukio ya ajabu

    Ndugu zangu niambieni huko segerea kunani, kilombero je? Nani mshindi. Kama wanachakachukua nijue mi nataka enda japo niwepo nje mpaka kieleweke.
  6. C

    GE2010 Slaa achaguliwe tu mwaka huu. Cheki contribution yake.

    Nakupongeza kwa swali nzuri, soma au pitia katiba ya chadema utaona sera safi na za kutekelezeka. Kama kweli u mtanzania mwenye uchungu na nchi yako natumaini utasoma na kujionea tofauti ili uchukue hatua.
  7. C

    Kikwete kuwa serious japo kidogo tu...

    Ndugu nadhani kwa utashi wa kawaida, kikwete si rais wa wenye akili. Ni Rais wa wapumbavu. anatia aibu. He is a fake president. Yani nikimuangalia nikimtazama makamba na wanaomzunguka naona jinsi alivyo na upupu kichwani. We need a serious president. We have to select the best commited guy...
  8. C

    GE2010 Can you convince me to vote for CCM?

    TUHAMUE TUUNGOE UMASIKINI. Jamani natangaza, kama wakatoliki wakisema leo wanampigia kura Slaa. Mjue na KKT nao pia. Nasema kweli likitokea hili basi mapinduzi halisi wamekamilika japo ni kwa njia isiyo sahihi sana. Natamani tuungoe umasikini huu. CCM iende zake kupumzika
  9. C

    ''MHESHIMIWA DOCTOR rais''......!vp wazee inaendana na alikoifikisha nchi sasa?

    Ndugu zangu najiuliza, hivi kweli kikwete ni mwanauchumi? kweli mikataba kama ile ya reli aliisoma kwa kisomo chake au ndo nini? Muhuni huyu jamaa? hana uwezo wa kufikiria au ni uzalendo umetoweka? najiuliza ni mtu gani asiyeona jinsi tunateseka? asome kitabnu cha Nyerere cha our...
  10. C

    Malecela: CCM isihusishwe na ufisadi

    Malecela Ni Mzee, Huyu ninavyomjua mimi ni mtu mbinafsi, ni mroho wa madaraka, alitaka kupaka madarak, Nyerere akataa. Huyu bwana ni Fisadi wa akili, amewalaghai sana watu kwenye kampeni nyingi. Nadhani kwa ushauri, apumzike kabisa na asijaribu kujihusihsa na kampeni za mwaka...
Back
Top Bottom