SAWA MIMI SIO MWANASIASA ,.Vyuo vikuu vina Mathamanisho yake,..ya kiheshima either unaufuata MTAALA na unatunukiwa heshima baada ya kuumaliza, au Uthamanisho wa heshima unakufuata kutokana na mchango wako katika jamii,.ile vita ya kenya kwenye na baada ya Uchaguzi iliuwa si Ndogo,.wenyewe wanaelewa,..
publications mzee ni muhimu zinaweza kukugusa indirectly kutokana na uliyoyafanya ambayo yanaweza kutumika kama hadidu sehemu nyingine .,hiyo pia ni publication,.na inakubalika,.
mimi sio mwanasiasa ..
SUALA LA MAPROFESA hebu tuliangalie.,.ningependa tuzungumzie wa TANZANIA upande wa tiba[madaktari] NI VIPI WAMEWEZA KUWA MAPROFESA BILA KUWA NA PhD,..kwa walio wengi ninaowajua hawana Phd,.. Hawajawahi kuwa maasosiate PROF,..Lakini wanatambulika hivyo wakati ki mtaala haiko hivyo,.neno kubwa ni kupablish kupablish,.ameshapablish.,.. teaching staff,..teaching hours amefikisha point,.ni nani mwenye kuwahakiki?
Kwa huku tulipo ili upate masters DEGREE lazima upablish angalau pepa moja yenye mahusiano na tafiti yako ,.lasivyo humalizi shule,.na kama una uwezo basi zaidi ya hapo[motisha pia hutolewa kwa kila pepa inayotoka], KWA watu wa PhD pepa moja yenye mahusiano na tafiti yako tena lazima itoke SIC journal ,la sivyo humalizi shule,..je baada ya kufanya hivyo nikirudi bongo nitaitwa prof,.
lakini mbona wale wa BONGO wanaitwa maprofesa???
Basi ujue lazima kuna system ya vyuo vikuu ambayo imekubaliana na hali hiyo.,.ingawa wakija maprofesa toka nje majamaa huona noma na kujiita madockta.,lakini heshima ni heshima tu mzee ni kama tuzo ya NOBELI.,WANAKUBALIKA,.Ndio System ya dunia WAMEPEWA HAO TUZO YA KIDAKTARI,huna budi kukubali
Una ushahidi gani kuwa ma Profesa wa tiba ya afya hapa TZ hawana PhD?
Kuhus kupata masters degree sio tu huko mlipo, mtu hupata shahada hiyo baada ya kutoa publish paper, hata hapa TZ huwezi pata masters degree bila ya kutoa andiko la mradi wako au utafiti wako,??????
ni kweli kuwa ili uwe Prof ni lazima uwe na PhD na hiyo ipo hata kwa Medical Doctors, na ni kweli kuwa lazima wawe na publication,
We mtoto kaa kimya kabisa,.SIJUI Huko uliko unafanya nini kama upo bongo BASI ndio nchi imeisha kabisa andiko la mradi wako au utafiti wako,Kuhus kupata masters degree sio tu huko mlipo, mtu hupata shahada hiyo baada ya kutoa publish paper, hata hapa TZ huwezi pata masters degree bila ya kutoa andiko la mradi wako au utafiti wako, na andiko hilo ni either liwe Thesis ( sijui kiswahili chake) au iwe ni Dissetation, ni ki ukweli hata undergraduate degree mtu huipati hata TZ hadi umeandika special project! ???????????na kwa PhD ni hivyo hivyo kama .//////?......
Thesis,..hujui hata maana yake ,..Wellcome to JF..we will change youna andiko hilo ni either liwe Thesis ( sijui kiswahili chake) au iwe ni Dissetation
Hii ni issue, jamaa is confortable with the tittle! In fact, he is proud!Kuitwa Daktari bilaa kudefend theses ni sawa na kuvaa tai bila shati. Haina maana yoyote kitaaluma!
kuna katabia ka vyombo vya vya habari "vya umma" nikimaanisha tbc1 na vikaragosi vyake kumtaja kikwete wakianza na doctor, hiyo phd jamaa aliipata wapi? Ninavyojua phd za heshima hatuzianzi kama prefix au nimekosea?
Au anataka kubalance na dr slaa?
anastahili kuitwa Dr. kwani ametunukiwa PhD toka Kenyata University na vyuo vingine kama juzi hapa alipoenda Uturuki, na kama Kenyata inatambuliwa na TCU tatizo ni nini??
sababu za Kenyata kumpa wanasema ni "from the role in reuniting and restoring peace in Kenya after the post-election violence - and for the individual achievements and contribution to the welfare of humanity." copied
vyuo vina taratibu tofauti za kutoa PhD inakuwa vibaya kama ni ya kufoji
DEGREE YA HESHIMA INATAMBULIKA HALI KADHALIKA PhD YA HESHIMA....NI MTU MWENYEWE AKATAE KUITWA HIVYO KAMA ALIVYOKATAA Dr. B W MKAPA KUITWA MTUKUFU RAIS
Kwani slaa ni daktari wa nini ? Si ni wa biblia ? Hata degree yake ya mwanzo ni ya biblia !!!! Na phd yake ni ya canon law...yaani sheria za kikatoliki......sasa yupi bora ?
Musichanganye mambo......kikwete ametunukiwa phd kama 4 ...na anastahiki kwani ni mbinifu.....na ccm ni institition kubwa its like goverment within......sio famila ya wana moshi
mnampandisha slaa kwenye net na tanzania daima....lakini ukweli ni kwamba uwezo wake na mkakati wake hauwezi kufikia wa mrema na nccr mageuzi....mrema alikua real tishio ..na timu yake ilikua ni ya watu makini kutoka nchi nzima lakini mwalimu aliwashauri wacahane na urais kwani walikua bado...wakakata..
Chagueni vizuri sio ushabiki....tukumbuke maneno ya nyerere aliposema hawezi kwenda butiama kulala na kuicha nchi yake kwa d...s alitumia neno zito kuonesha namna gani nchi inge sambaratika kama wapinzania hasa mrema angechukua nchi..