Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
inasemekana mtoto wa mkulima anayejiita hivyo anamiliki hisa kunako kampuni ya sumry kwa kiasi kikubwa sana kupitia kampuni moja hiv iliyoko arusha
Vyote tu...kakosa support na uelekeo pia.ameanza kuyumbayumba,,,,,sijui amekosa support au amepoteza muelekeo!!!!
ameanza kuyumbayumba,,,,,sijui amekosa support au amepoteza muelekeo!!!!
Naunga mkono . Sio mtoto wa mkulima. kisheria ana powers lakini hawezi. Kumbukeni Mrema ndani ya Ccm ya Nyerere
Kujilimbikizia mali siyo kigezo cha kuitwa mtoto wa mkulima. Ukweli ni kwamba Pinda ni msanii anayewahadaa wananchi kwa kutoa kauli safi asizoweza kuzitekeleza. Hebu jiulize, hadi sasa ni jambo kubwa lipi unaloweza kusema kuwa Pinda atakumbukwa na umma wa watanzania kuwa kalisimamia ipasavyo? Alisema mashangingi yasinunuliwe lakini hadi leo ni mashangingi mangapi yamenunuliwa tokea aseme hivyo? Ni tatizo sugu lipi aliloweza kulipatia ufumbuzi kwa kushirikiana na mawaziri wengine? Yeye kama Waziri Mkuu, mbona hatuoni matokeo ya utendaji wake kama ambavyo tumekuwa kukishuhudia kwa Magufuli kila anapopewa wizara, tena yanaonekana ndani ya muda mfupi tu?Ni mtoto wa mkulima kweli. Hajajilimbikizia mali (siyo fisadi). Ni mfumo (system) wa serkali ya CCM ndiyo unamfanya atende atendavyo. Hata wewe ukiingia na kubaki humo utafanya afanyayo Pinda, ingawa kwa shingo upande.
huyu ndo msanii namba moja kwani ni mnafiki sana kwanza ana hisa nyingi katika kampuni ya sumri