Recent content by comfix

  1. comfix

    Ushauri please

    Pangeni fumanizi la kizushi na huyo mtarajiwa wako, huyo uliyenae ni lazima atafungasha virago kwa hiari yake, kisha taratiiibu unasogeza.
  2. comfix

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Kumbe ndio maana walikiuka kanuni makusudi badala yaJaji Warioba kumalizia wakaanza nae ili rais aje amwage ----- kwenye hotuba ya jaji, aonekane hana maana pamoja na tume yake.
  3. comfix

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Hotuba zilikuwa za hayati mwalimu JK (Rest in peace) mpaka hivi leo ukisikiliza ni lazima mwili usisimke, utake usitake utakaa kimya huku ukitamani asimalize kuhutubia. Mimi siangalii tena natoka nje kibarazani kuangalia kunguru.
  4. comfix

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Makofi, vigelegele hata visipohitajika, sijui ndio raha ya posho ama ni nini, kero aargh...
  5. comfix

    Moyo mpweke

    Nahitaji "ke" umri 30 hadi 35 awe anaishi Dar, awe mkristo mwenye hofu ya Mungu. Kwa aliye serious ani PM.
  6. comfix

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Umeme wenyewe umepanda bei sitaki hata kuusikia
  7. comfix

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Usiogope pamoja na hayo yote, wenyeji wa huko ni wasukuma kabila linalosadikiwa kuwa ni watu waungwana wasio na makuu, nina imani utaenjoy, maisha ni rahisi sana. You are very lucky.
  8. comfix

    Faida za kuzaa watoto wengi ni zipi?

    Kipindi hicho kabla dunia haijavaa miwani ya jua ilikuwa ni sifa katika jamii kuwa una nguvu kazi ya kutosha katika familia. Kwa sasa dunia itakushangaa haijalishi hata kama unao uwezo wa kuwahudumia, mambo yamebadilika.
  9. comfix

    Unforgettable true story

    Hakuna tulichobakiza mkuu, ndio maana roho inaniuma kumpoteza.
  10. comfix

    Unforgettable true story

    Wakati mwingine kuna matukio ambayo naamini huwa ni nadra kutokea. Sikia hii: Siku moja nilisafiri kutoka Dar kwenda Mza kwa basi. Katika kiti cha mbele yangu alikaa dada mmoja mrembo, baada ya kufika Chalinze aliniomba nimwitie wale wachuuzi wa bidhaa ndogondogo kwani mimi nilikaa dirishani...
  11. comfix

    Matiti yangu yako tofauti nifanyeje?

    Pole kwa kupasua kichwa. Ukweli ni kwamba siyo wewe tu bali matiti ya wanawake wote hayalingani kwa ukubwa hata kwa kusimama ni sawa tu na zilivyo zile kuta za ile midomo yenu ya chini (Weka mbali na watoto) kwa kujiangalia mwenyewe hauwezi kuona tafuta mtu unaemwamini kama yuko mbali bas ni PM...
  12. comfix

    Ushauri:Kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Katika maisha yako usije ukaoa mtalaka au mwenye mtoto unless awe amefiwa na huyo mzazi mwenzie. Kusema hivyo mimi nilishauriwa na wazee wangu nikakaidi wakati huo penzi limeshika hatamu, lakini baadae nilijionea mwenyewe. Mimi ninae mzazi mwenzangu pamoja na kuwa alishaolewa lakini mawasiliano...
  13. comfix

    Tujikumbushe kidogo Primary School.

    Kutokana na utaalam wangu wa kubaini mambo, hakika wewe ni msukuma. Nategemea siku moja tutasikia matukio uliyokutana nayo ulivyokuwa ukichunga ng'ombe...
  14. comfix

    Unajua kuwa ......

    Hata haeleweki, zitakuwa ni bia za kununuliwa zimemchanganya.
Back
Top Bottom