Mangare100
Member
- Aug 21, 2012
- 57
- 25
Jamani na mimi nisaidieni ushauri nataka kuolewa na mwanaume mwenye mtoto halafu tuko kwenye mahusiano kwa miaka mitatu ila yy yuko mkoa mwingine na mimi mwingine, huwa anampigia huyo mama wa mtoto anamleta mtoto anamuacha kwa baba yake au anamtuma msichana wa kazi amlete. Hiki kitu kinaniuma sana kwani kila w.kend anakuwa na mwanae na akiwa nae hata ukimpigia cm hamsikilizani yuko busy na mwanae. Nishachoka kuvumilia ila tatizo tushapoteZeana muda miaka 3 na bado nampenda.