comfix
Member
- Feb 15, 2014
- 59
- 11
Ukimpenda sio lazima nae anakupeda?
Ukiwa muaminifu huenda nae sio muaminifu?
Ukimjali huenda yeye hakujali?
Jisimamie na usifanye hayo kwasababu ya mtu mwingine bali kwasababu umejua kuwa ni kwa faida yako mwenyewe!
Pumba tupu.