Ushauri please

Ushauri please

Jaman jaman nimeshtukaje?? ucje ukawa ndo baba mtoto wangu mbona ntachanganyikiwa
 
Kweli unampenda huyo mwingine?
Kwa sababu u can move heaven and earth..destroy families and relationships. Hurt souls and hearts. Break hopes and reasons to believe in goodness of men.
Mwisho wa siku unakuta it was just a spur of the moment, na yeye humpendi kihivyo and u'll cheat on her too.
Hebu kaa chini ujiulize is that what u want?
Kumbuka hata huyo unayeishi naye ulimpenda. Tena kwa sababu nyie ndo mnaonana kila siku na bado anataka umuoe unakuja kujua she is the only one who has even gave all up for u. Who truly love u. Kwenye hii dunia iliyojaa utapeli it really is important kuishi na someone u can count on. Hata kama upendo umeshuka, are u sure u have done everything u could to save ur relationship? ama ulikuwa busy kwa huyo mwingine?
Do u know hata ukiwa na huyo bado usipoulea upendo utaisha pia?

Kaka mkubwa mwisho wa siku utakuja gundua haya mambo bana unaangalia unayeweza kuishi naye. Love is choice. Hata walio ndoani kuna kipindi upendo hushuka. Haina maana ndoa ndo imeisha.

I wish someone could see this............
 
Pangeni fumanizi la kizushi na huyo mtarajiwa wako, huyo uliyenae ni lazima atafungasha virago kwa hiari yake, kisha taratiiibu unasogeza.
 
Sasa unaempenda naye ukute hakupendi kivile baadaye atampenda mwingine au kuna mtu ana mpenda zaidi yako
 
Ninaishi na mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja ila hatujafunga ndoa.

Home kwetu wanamfahamu, kwao pia wananifahamu.

Kiukwel kwa sasa nimefall sana kwa mwanamke mwingine ambaye ndiye hasa natamani awe mke wangu wa ndoa.

Tatizo linakuja, huyu wa pili ni dini tofauti na mm japo yu tayari hata nikafunge naye ndoa ya Kiserikali, japokuwa na yeye anawasiwasi kama wazazi wake watalikubali hilo kwani wameishika dini yao kweli kweli.

Huyu wa home naye kila kukicha ananiuliza vp ndoa, nampiga calendar.

Yule mwingine kanipa Go ahead niende kwao natest ali kama wazee wake watakubali.

Nimeshidwa kwenda sijui nitaanzia wapi kumuacha huyu ninayeishi naye.

Kwa mawazo yangu, hata kma nitafunga ndoa na huyu ninayeishi naye, nitamcheat siku zote a maisha yangu sababu ninayempenda ndo hivyo kuna vikwazo kati yetu.

Nifanyeje wandugu?

We kweli kiazi., as Nyani Ngabu said, Sucks to be you:shocked:
 
Pangeni fumanizi la kizushi na huyo mtarajiwa wako, huyo uliyenae ni lazima atafungasha virago kwa hiari yake, kisha taratiiibu unasogeza.
una ushaur mbaya yani,wsh one day yakukute hayo ndo utajua nini maana!

Back to the topic! Yan wewe mtoa mada dawa yako ya usaliti ipo tu,kwanin unamfanyia mwenzio hvo?usiache mbachao kwa msaala upitao! Umekaa na mtoto wa watu umemgegeda,umemzalisha na si ajabu umemchakaza, alafu unataka umteme kama bigijii! Criously??? Malipo ya usaliti ni hapahapa dunian!mungu atakulipa,ili kumbuka first love yako na huyo mzaz mwenzio ambaye unamuona kdampa!#okbye
 
Mwambie ukwelii uliemzalishaa ajiondokee mapemaa ila ukirogwaa usitulaumu sieee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom