Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,364
Sasa sasa sasa saa ya kwenda kwetu..kwa heri Mwalimu kwaheri...tutaaa...mie siku nyingi nishaiba mifagio ndukii
Sasa sasa sasa saa ya kwenda kwetu..kwa heri Mwalimu kwaheri...tutaaa...mie siku nyingi nishaiba mifagio ndukii
hauruhusiwi kwenda nyumbni mpka karanga,bagia za mwlimu ziishe ama sivyo mkope ili ziishe mruhusiwe.
Kuna mvulana alikua ananioneaa ananitaka wakati mi sijui hata mapenzi utamu wake,alikua ni monter basi kwenye majina ya wapiga kelele nilikua sikosi hata kama sijaongea
Akiniona na kitu eti lazima nimpe basi nikimnyima atanipigajee na mie akinipiga siendi staff kushtaki nanyoooka moja kwa moja home huku naliaa,nikifika home aunt yangu ananirudisha mpaka shule anashtak kwa mwalimu huyo kijana atachapajwee!!!!!
Halaf hakomi kesho yake ananidunda tu weeee siku moja nikamtoleaa uvivu tulipigana mpaka akaja mwalm mkuu alimchapaa tokea siku hiyo sikuwah kumuongelesha tokea darasa la 5 mpaka la 7 ,kwenye graduation ya darasa la saba akawa ananidenda kekii nikamnyimaa,yaaan wanafunzi wotee mwenye keki nilikua mie tu lol nilidendwajeeee, huyo kijana nasikia sasa hiv ni mganga wa kienyeji huko Tabora lol alinionea hua simsahau huyu Haruna
Kuna mvulana alikua ananioneaa ananitaka wakati mi sijui hata mapenzi utamu wake,alikua ni monter basi kwenye majina ya wapiga kelele nilikua sikosi hata kama sijaongea
Akiniona na kitu eti lazima nimpe basi nikimnyima atanipigajee na mie akinipiga siendi staff kushtaki nanyoooka moja kwa moja home huku naliaa,nikifika home aunt yangu ananirudisha mpaka shule anashtak kwa mwalimu huyo kijana atachapajwee!!!!!
Halaf hakomi kesho yake ananidunda tu weeee siku moja nikamtoleaa uvivu tulipigana mpaka akaja mwalm mkuu alimchapaa tokea siku hiyo sikuwah kumuongelesha tokea darasa la 5 mpaka la 7 ,kwenye graduation ya darasa la saba akawa ananidenda kekii nikamnyimaa,yaaan wanafunzi wotee mwenye keki nilikua mie tu lol nilidendwajeeee, huyo kijana nasikia sasa hiv ni mganga wa kienyeji huko Tabora lol alinionea hua simsahau huyu Haruna
Subiri asome hapa akurushie zongo la mtu mzima moja kwa moja toka Tabora.
Sasa sasa sasa saa ya kwenda kwetu..kwa heri Mwalimu kwaheri...tutaaa...mie siku nyingi nishaiba mifagio ndukii
Dah! Wale wa viini macho mimi nilikuwa nawapenda sana wakija sikuli,nakumbuka kuna mmoja alitafuna nyembe akletewa maji akameza alafu akanya peremende.
darasa la kwanza hiloo...,acha nikazimike kadem fulan iv.,nkaona nitoe ya moyoni kwa maandishi!(barua),c unajua zile verse za zaman.,cjui nimetokea kkpenda,usiku nikilala nakuota.,n.k..Kale kadem acha kanichenjie mapgo..kakaipeleka barua kwa mwalim wa zam..ticha alivo mnoko akaisoma parade..ilikua bonge la noma nkikumbukaga nacheka sn asee!
Mmh! La kwanza? Wengne tunajifunza a e i o u, mwenzetu unajua kuandika barua za mapenzi! Yuo were gifted!