Adui mkubwa wa CCM ni Chadema, ndiyo maana kwao wanafanya kila wawezalo kuhakikisha hiki chama hakisongi mbele, wanatumia kila fursa waliyonayo kufanikisha hilo. Ndiyo maana tunao polisi ambao badala washughulike na usalama wa raia na mali zao, wao wako bize kuwabambikia kesi watu wa Chadema...
Mimi bwana nina dogo wangu, mtoto wa babangu mdogo kabisa. Kila siku alikuwa akinipigia simnu yupo mkoani huko anaomvba aje mjini nimuunganishie kazi maana huko hali mbaya. Kweli bwanba, akadondoka town, nikakaa naye home kama miezi mitatu, badae nikafanikiwa kumuunganisha na mwananbgu mmoja...
Nimependa sana maelezo ya huu mradi. Mimi nipo Dar es Salaam lakini ni mwenyeji wa wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma. Kule kuna ardhi ya mimi kuweza kuwekeza katika mradi huu maana kuna uhakika wa soko. Ni maswali machache. 1. Je inawezekana kwa mimi kulima kutokea Mbinga? 2. Ile bei ya sh 5000 ni...
Andiko linaonyesha hasira. Linaonyesha wametupwa nje ya mfumo. Ni mwakilishi wa kundi lililokuwa likiumizwa na Kigogo. Lingetamani kuona ile hali ya kuwekwa wazi kwa mambo yao inaendelea. Ukimya wa Kigogo unawafanya waamini alikuwa akisaidiwa na wapinzani wao. Hawa ndiyo wale wanaoamini Mama...
Ishu siyo mtu, ni matukio. Huyu IGP aliwahi kuambiwa na Jiwe akiwa RPC DAR awanyang'anye hawa wajinga silaha haraka haraka na ndo maana ujambazi ulipungua wakati ule, leo mama kadokezwa kuwa ule ujinga umerudi so amemkumbusha Siro, asipime kina cha maji. Siku zote majambazi ni Polisi, yaani...
Sio kila mtu anaishi kwa malengo yako. Kama wewe unafikiri maisha ni kuwekeza, hizo ni akili zako na mipango yako. Hivi mtu anatafuta pesa halafu anaenda kuipa roho inapenda kuna ubaya gani? Ugumu wa maisha ya uzeeni ni yake na ni sehemu ya maisha ambayo Mungu aliumba. Kuna mafukara kila mahali...
Mleta mada amekosea au? Kwani Chadema ipo, si ilishajifia? Maana tunasikia wananchi wa Tanzania waliikataa Chadema kwenye sanduku la kura na wakawapigia kura za ndiyo sisiemu wakajazana bungeni. Sasa watu hawatakiwi na wananchi, huko kwenye kongamano waje kama nani? Jamaa wanateseka sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.