Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,489
- 30,524
Ujumbe una shida gani ?Usemi ni kugundua mbinu ya Bawacha kuficha makucha yao ya maandamano kwenye jogging. Angalia ujumbe wao kwenye fulana zao. Hiyo haikuwa jogging ni maandamano
Polisi wasomi wamegundua mapema na kuchukua hatua stahiki. Big up kwa polisi wetu. Watanzania tunaunga mkono polisi wetu.