Udikteta Tanzania: Polisi ya Simon Sirro yazuia wanawake kufanya mazoezi ya Jogging

Usemi ni kugundua mbinu ya Bawacha kuficha makucha yao ya maandamano kwenye jogging. Angalia ujumbe wao kwenye fulana zao. Hiyo haikuwa jogging ni maandamano

Polisi wasomi wamegundua mapema na kuchukua hatua stahiki. Big up kwa polisi wetu. Watanzania tunaunga mkono polisi wetu.
Ujumbe una shida gani ?
 
Ninyi watu ni wa ajabu sana.

Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?

Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?

Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".

Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.

Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Kwa nini umchagulie mtu maandishi gani yawe kwenye tisheti yake, hii hata North Korea haipo. Hii nchi imekuwa takataka kwa hawa polisi ambao hawana tofauti na Interahamwe.
 
View attachment 1943298
View attachment 1943311
My Take:

Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.

Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.

Mwana kulitafuta mwana kulipata
Time will tell. Ni bahati mbaya wanawake wenye courage kama hao kuburuzwa kama kondoo.

Yatapita kama aliyeitisha mikutano na watendaji wote wa kata kabla ya 2020 election. Yupo anagombea ukuu wa malaika kumpisha Gabriel au Rusfer.
 
Time will tell. Ni bahati mbaya wanawake wenye courage kama hao kuburuzwa kama kondoo.

Yatapita kama aliyeitisha mikutano na watendaji wote wa kata kabla ya 2020 election. Yupo anagombea ukuu wa malaika kumpisha Gabriel au Rusfer.
Njia ya waovu ni ile ile, fupi.
 
Sirro anazeeka vibaya.

Inaelekea akilala anaweweseka kutokana na udhalimu wa jeshi la polisi kwa wananchi tangu awe IGP
Mauaji Kibiti, Zanzibar, Utekaji watu na kubambikizia watu.
Kadri anavyozidi kuzeeka na kukaribia kustaafu ndo anazidi kuwa IGP katili na asiyejitambua zaidi katika historia ya nchi hii.

Hatujasahau alivyokuwa pacha wa Makonda alivyokuwa kamanda wa Polisi Dar na mambo ya kidhalimu aliyofanya hapa Dar
Unakumbukaga ile picha alionyeshaga gari lililomteka Mo? Hivi huwa hapitii aliyoyafanya jana, juzi? Aibu sana kwa NCHI
 
Huyo unayemwita mtoto wa mjini amekuletea maendeleo gani zaidi ya kuwafanya ndugu zako wawe wadangaji tu, Nyerere alikuwa mtu wa mjini? Mbona aliwasaidia wengi wapate elimu bure wakiwemo hao hao wanaotuharibia nchi yetu, jifunze bwashee uongozi bora si kuwa born town
Sawa mkuu, pamoja na kuwa Nyerere hakuwa mtu wa mjini lakini hakuwa na roho ya kimasikini na wala huwezi sema alikuwa bush boy. Maendeleo hayakufati kitandani mkuu.
 
Ninyi watu ni wa ajabu sana.

Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?

Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?

Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".

Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.

Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
kwa mfano hizo t-shirt zingeandikwa "hapa kazi tu" ingekuwaje?
 
Ninyi watu ni wa ajabu sana.

Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?

Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?

Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".

Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.

Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Mbona ukijogi huku umevaa suti kali ya vipande vitatu polisi hawakukamati!
 
Ninyi watu ni wa ajabu sana.

Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?

Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?

Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".

Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.

Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Kizazi chako kina walakini....
 
Najaribu kutafakari, kwa mfano ingekuwa UVCCM JOGGING CLUB - TUME HURU - polisi wangewazuia?
 
..
20210921_170848.jpg
 
Back
Top Bottom