Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,171
- Thread starter
- #61
Tindo
Unaandika sana ila hoja yangu haipingwi kwa maneno mengi kama hivi,
Upinzani Tanzania bado sana,
Unaandika sana ila hoja yangu haipingwi kwa maneno mengi kama hivi,
Upinzani Tanzania bado sana,
Amka ww kumekucha maana utachafua godoro. Hapo unaona ndio umeniambia ukweli kana kwamba mimi siujui ukweli. Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara. Kama Mbowe anacheza mchezo na CCM, hivyo vyama vingine mbona havishindi?