Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Rudi kwenuUtoto unakusumbua,ukikua utaacha.
Rudi kwenuUtoto unakusumbua,ukikua utaacha.
Huyo mama nyinyi ndiyo mnao mpiga vita sana na mnajulikana.JPM yu pamoja nasi. Mama yu pamoja nasi. Mungu yu pamoja nasi.
Labda Mungu wa koromitjeJPM yu pamoja nasi. Mama yu pamoja nasi. Mungu yu pamoja nasi.
Ibarikiwe Koromije kwa kuwa na Mungu wake!!Labda Mungu wa koromitje
Unajifanya kumsahau?Ibarikiwe Koromije kwa kuwa na Mungu wake!!
Kama wewe muumini wake unamfahamu, mimi nina shida gani ya kumfahamu?Unajifanya kumsahau?
Wakati ndiye ulikuwa mramba miguu wakeKama wewe muumini wake unamfahamu, mimi nina shida gani ya kumfahamu?
ndio maanaakeSio mwanachama wa Chadema?
Kwani kura za October 2020 zilihesabiwa? Be serious please!! Magufuli kupitia NEC, TISS na Police walichapisha tu matokeo na wakayaita ushindi wa Magufuli kwa 84%. Nani wa kumpa Magufuli hata 30%Nafikiri hoja hapa ni kiasi gani huyu askofu ana ushawishi. Kama anaushawishi mbona hakusaidia kuleta kura za kutosha Chadema? Mbona hajawahi kuleta hamshahamsha ya kisiasa hapa bongo? Mengine ya kuleta kashfa ni dharau.
ASKOFU ANAPOINGILIA KAZI ZA LISSU ANAZOFANYA HUKO NJE UJUE ANASHIDA SIYO MTUMISHI HUYO NI SH****GA TUHuyu Bishop ambaye huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.
Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?
Kama ana ushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.
CHADEMA tafuteni mikakati mingine, sio kutumia watu kama Mwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani Askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
Ulitaka akashike bunduki kama walivyofanya polisiccm?Sio kweli, nimepima nikaona hana ushwawishi ndio maana hata hakumsaidia Lissu wakati wa kampeni.
Sisi kwetu Idugunde ni matako,sasa wewe kujiita matako una akili kweli?Mtu ujiite kimbendengu uwe na akili?
kama hana mbona utapoteza airtime yako kumuongelea?Huyu Bishop ambaye huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.
Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?
Kama ana ushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.
CHADEMA tafuteni mikakati mingine, sio kutumia watu kama Mwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani Askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
Ajazie kura wakati mliibaHuyu Bishop ambaye huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.
Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?
Kama ana ushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.
CHADEMA tafuteni mikakati mingine, sio kutumia watu kama Mwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani Askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
Ushawishi wa kuzini na waumini wake tena wake za watu!Askofu Josephat Gwajima ndiye askofu pekee mwenye ushawishi mkubwa Tanzania