Askofu Mwamakula ana msaada gani kwa CHADEMA? Mbona kama hamna anachowasaidia, kwa ujumla hana political influence

Kama wewe muumini wake unamfahamu, mimi nina shida gani ya kumfahamu?
Wakati ndiye ulikuwa mramba miguu wake
JamiiForums1992601550.jpg
 
Nafikiri hoja hapa ni kiasi gani huyu askofu ana ushawishi. Kama anaushawishi mbona hakusaidia kuleta kura za kutosha Chadema? Mbona hajawahi kuleta hamshahamsha ya kisiasa hapa bongo? Mengine ya kuleta kashfa ni dharau.
Kwani kura za October 2020 zilihesabiwa? Be serious please!! Magufuli kupitia NEC, TISS na Police walichapisha tu matokeo na wakayaita ushindi wa Magufuli kwa 84%. Nani wa kumpa Magufuli hata 30%
 
Huyu Bishop ambaye huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.

Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?

Kama ana ushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.

CHADEMA tafuteni mikakati mingine, sio kutumia watu kama Mwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani Askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
ASKOFU ANAPOINGILIA KAZI ZA LISSU ANAZOFANYA HUKO NJE UJUE ANASHIDA SIYO MTUMISHI HUYO NI SH****GA TU
 
Huyu Bishop ambaye huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.

Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?

Kama ana ushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.

CHADEMA tafuteni mikakati mingine, sio kutumia watu kama Mwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani Askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
kama hana mbona utapoteza airtime yako kumuongelea?
 
Huyu Bishop ambaye huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.

Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?

Kama ana ushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.

CHADEMA tafuteni mikakati mingine, sio kutumia watu kama Mwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani Askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
Ajazie kura wakati mliiba
Mpumbavu mkubwa wewe

Zilijaa mkaiba
 
Back
Top Bottom