Kilimo cha kahawa kina faida kubwa kwani mavuno yake unalipwa kwa dola.
Kwa mfano ekari moja ambayo unapanda Miche 800 na mche mmoja kununua na kuupanda gharama yake Tshs 500.
kwa Miche 800 sawa Tshs 400,000 na kutunza kwa miaka 3 gharama Tshs 1,200,000 jumla kuu Tshs 1,600,000 mwaka wa tatu...