M-FINANCE
Senior Member
- Aug 19, 2017
- 107
- 139
Hello waungwana nina jambo moja linanisumbua akili. Mwaka jana nilipata kwenda kutembea Mombasa Kenya, nikapita mpakani kwa kugongewa muhuri wa EXIT TANZANIA na ENTRY KENYA
Kwa bahati mbaya nikamissplace pasport yangu nikiwa Kenya ikabidi sasa nitafte mbinu ya kuvuka kurudi Tanzania kwa njia ya uchochoro nikiwa na akili kwamba nikifika hapa Dar nitafte passport nyingine, ila kwa bahati nzuri kule Kenya nilipoipotezea passport ikapatikana wakanitumia kwa basi
Swali je nikitaka kutoka Tanzania maana nina safari ya Malawi sitaulizwa kwamba mbona haioneshi entry Tanzania?
Wazoefu naomba mbinu kama hawaulizi chochote hapo nakausha najipanga tu folen border kwenda immiigration office
UPDATE
Nimeshalimaliza Tatizo
Mrejesho: Nimesovu tatizo la Kupita mpakani bila kugongewa muhuri wa EXIT KENYA - ENTRY Tanzania - JamiiForums
Kwa bahati mbaya nikamissplace pasport yangu nikiwa Kenya ikabidi sasa nitafte mbinu ya kuvuka kurudi Tanzania kwa njia ya uchochoro nikiwa na akili kwamba nikifika hapa Dar nitafte passport nyingine, ila kwa bahati nzuri kule Kenya nilipoipotezea passport ikapatikana wakanitumia kwa basi
Swali je nikitaka kutoka Tanzania maana nina safari ya Malawi sitaulizwa kwamba mbona haioneshi entry Tanzania?
Wazoefu naomba mbinu kama hawaulizi chochote hapo nakausha najipanga tu folen border kwenda immiigration office
UPDATE
Nimeshalimaliza Tatizo
Mrejesho: Nimesovu tatizo la Kupita mpakani bila kugongewa muhuri wa EXIT KENYA - ENTRY Tanzania - JamiiForums