Recent content by Cola

  1. C

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Naombeni kujua sinza kwa wajanja matokeo yakoje. Ujanja wao ni Ccm au Ukawa?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Movement for change ndo hiyoo inaanzia ndani ya CHADEMA from hero to zero

    umepotea njia na wajionyesha ni jinsi gani usivyostahili hata kupewa u kiranja wa darasa la shule ya msingi kwa usivyoweza kupima wapi na lini u post nini. pole sana, ni vema mkakaa kimya ili kulinda japo heshima kidogo iliyobaki. kukaa kimya si kuwa mjinga, kajipange upya.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Chizi na mata....k..o

    Hurumia mbavu zangu, maana umenifanya nicheke pasipo kutarajia, kwa kweli u made my day Chimbuvu!
  4. C

    JamiiForums Tanzania John Heche akiri CHADEMA imeandaa mkakati wa kumpeleka Dr. Slaa ikulu 2015... Shame!!!

    Mhhhhhhh, Hakuna jipya hapa, ni kutapatapa kwenu tu, hamtupati ng'o.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Picha: UVCCM-Dar wapokeana kwa kutwangana

    Mkuu umenifurahisha sana na nimecheka mno. umemwita kwa jina stahili mkewe CCM ie mrs CCM ambaye ni cuf
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Mwangosi: Ushahidi zaidi wa picha

    Asante Africa_Spring, haki ya mtu haipoitei bure.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kipanya leo!!

    Nadhani wewe hujacheka kama mimi, yaani hapa nilipo mbavu zinauma
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kwa wale mliosoma kwa mkopo wa Bodi ya Mikopo ya elimu ya Juu Tanzania, Angalieni Tangazo hili

    Mi naona ni vema wangeweka utaratibu pia wa kuonyesha kiasi unachodaiwa maana wengine tutaanza hata kuongezewa figure. ni heri wangeongeza link kuwa u click jina lako upate more details
  9. C

    JamiiForums Tanzania Dr Maro afariki dunia

    Na yule mwenye clinic ya moyo pale mavuno house mjini ni ndugu yake au ni yeye alikuwa akimiliki pia? RIP Dr.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Mtu mmoja afia ndani ya basi la 'Mombasa raha'

    Pole sana mkuu Mungu awape nguvu na faraja wafiwa, awasaidie waweze kuuhifadhi mwili salama.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Aden Rage aomba radhi; hakujua kama silaha iko kiunoni!

    Memo umenichekesha sana na picha hii. so wameanza na mkuki, kisha jembe, wakashika na nyundo kabla ya kugeuka kitimoto na kuanza kuvamia kila palipo na rasilimali zetu. Hatimaye wamegeuka f.i.s. wanaokoteza kila kilichobaki kwa maslahi binafsi.
  12. C

    JamiiForums Tanzania The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    Kwa vile maji yako shingoni?
  13. C

    JamiiForums Tanzania Zitto amjia juu Waziri Mkuu: Aandika barua kuhoji matumizi ya "Stimulus Package"

    Bravo mkuu, umenena mwanangu. tunahitaji wawakilishi wenye kumbu kumbu kama ninyi.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Vita kati ya maji ya Kilimanjaro na Maji ya kampuni zingine

    Uhai yanachakachuliwa hata mimi hapa Dar nayanywa nikikosa kilimanjaro au cool blue. kuna kipindi waliwahi kumuuliza mmiliki wa uhai kuhusu ubora wa maji kuwa chini akasema kuwa yeye hafanyi biashara ya maji bali ya chupa ndo kisa kaweka bei chini. akasema maji anaweka kama bonus so endapo...
  15. C

    JamiiForums Tanzania Majina ya kike ya Kisukuma

    mengine ni ; Wande, Mbalu, Kundi, Kabula, Mongu, Nselema, Malangwa.
Back
Top Bottom