Kipanya leo!!

Kipanya leo!!

Jambo lakushangaza Serikali huwainajitahidi kuwafukuza ombaomba mijini, nakusahau kuwa na yenyewe ni ombaomba!
 
Kweli tupu Kipanya!
Natamani ningeitumia kama avatar yangu!
 
Hii ndiyo hali halisi. Tupambane kuibadilisha kwa gharama yoyote. Ni aibu kwa watz wote na ni wajibu wetu sote kuibadilisha!
 
Back
Top Bottom