mmmmhhhh jf ni zaidi ya uijuavyo!ufafanuliwe atafufuka lini??ama
ufafanuliwe atafufuka lini??ama
hebu acha utoto kwenye swali la msingi.mimi nawafahamu kina dr maro zaidi ya watatu.sasa angalia hiyo taarifa ilivyo halafu useme ni maro yupi.kuna dr maro wa clauds,kuna dr maro wa muhimbili,kuna dr maro kcmc na sifahamu majina wote hao yao ya kwanza.
kuna dokta anaendesha kipindi cha njia panda kwenye radio ya clouds anaitwa isaack maro ndo yeye au wanamahusiano?
Kaka ana uhusiano na huyu Maro wa hapa udsm??
je ni yule aliyekua daktari wa mhe.mzee mkapa?
hebu acha utoto kwenye swali la msingi.mimi nawafahamu kina dr maro zaidi ya watatu.sasa angalia hiyo taarifa ilivyo halafu useme ni maro yupi.kuna dr maro wa clauds,kuna dr maro wa muhimbili,kuna dr maro kcmc na wote hao sifahamu majina yao ya kwanza.