Equity iko poa
Nimeshaona matawi yao posta, mwenge, mbagala, temeke, k/koo na maeneo ya pale quality center, na bado gharama za kutoa hela kwa wakala wao bado zipo chini kuliko mitandao ya simu
Ni kweli mkuu hapo mkeo alikuokoa sana ila pia wazazi wake walikuwa waelewa.
Sehemu nyingine wazazi wake wanasema uende tu wakakuone ila ukifika utakachokutananacho hautakaa uamini.
Unaweza ukaanza kuwachukia tokea siku hiyo maana utakutana na mambo magumu ambayo haukuwa umejiandaa kukutananayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.