Ni kweli mkuu hapo mkeo alikuokoa sana ila pia wazazi wake walikuwa waelewa.Mimi na mai waifu tulikubaliana tuipige kihuni maana kwanza hatukua na hela ndio kwaanza tunaanza anza maisha. Yeye aliwaambia wazazi wake tu pamoja na kaka/dada baas! Hakukua na hata jirani au sijui shangazi alienusa. Mimi mwenyewe nikatimba peke yangu kwa miguu! Basi tukakaa na wazazi wake pale piga sana stori, vimaswali vya hapa na pale nk. Tukala cha mchana mida ya saa tisa tisa kumi nikasepa zangu utambulisho ndio ukawa umeisha ivyo.
Sherehe tulikuja kufanya siku wazazi wangu walipoenda kutambulishwa ukweni ndio na mimi nikaenda watu wengine wakanijua, tukatoa na mahari hapohapo ikabaki send off na harusi tu. Ukiwa na mke muelewa haya mambo ni simple sana.
Kwa kweliiooNi kweli mkuu hapo mkeo alikuokoa sana ila pia wazazi wake walikuwa waelewa.
Sehemu nyingine wazazi wake wanasema uende tu wakakuone ila ukifika utakachokutananacho hautakaa uamini.
Unaweza ukaanza kuwachukia tokea siku hiyo maana utakutana na mambo magumu ambayo haukuwa umejiandaa kukutananayo
Usianze kubishana na wakwe kuhusu mambo ya Simba na yanga.Hata akikwambia Yanga inaongoza ligi we suport tuu.cha pili ni pale kwenyw chakula ,mtatengewa chakula pekee enu wawili wewe na baba mkwe na nyama wataweka tatu wakati nyinyi mpo wawili ili wakupime kama unajua hesabuNaombeni mwongozo huyu huyu mwanamke nilienae anahitaji nifike kwao akanitambulishe nyumbani,
Kama mnavyojua ukweni kabla ya kwenda kuna maandalizi ni lazima uyafanye ili usije ukaibika hivyo naombeni mwongozo washika dau mambo muhimu ya kuzingatia
Na vitu Gani vya msingi huwa familia wanapenda kuvisikia
Fanya vyote ila usisahau kunyoa upara. Ikiwezekana unyoe ile siku unaenda, ili uwe bado unang'aa.Naombeni mwongozo huyu huyu mwanamke nilienae anahitaji nifike kwao akanitambulishe nyumbani,
Kama mnavyojua ukweni kabla ya kwenda kuna maandalizi ni lazima uyafanye ili usije ukaibika hivyo naombeni mwongozo washika dau mambo muhimu ya kuzingatia
Na vitu Gani vya msingi huwa familia wanapenda kuvisikia
Nadhani muuliza swali ana maanisha utambulisho wa kawaida tuu,kabla ya hizo hatua zingineee.Tuma mshenga kwanza apeleke barua na ndani ya barua hiyo ambatanisha chochote kitu kadri ya uwezo wako.
Mshenga akipokelewa vizuri na akarudi na taarifa ya kupokelewa vizuri hapo sasa ndo utapeleka pua yako mkuu.
Mara nyingi mshenga huwa anapewa majibu ya kukubaliwa au kukataliwa, kama amekubaliwa baadhi huwa wanatoa mchanganuo wa vitu vyakwenda navyo wakati wa utambulisho + kutoa posa (hivyo vitu viwili ni kama mapacha)
Ila kabla hautajitokeza lazima ujue ni kabila gani la hao watu ambao unaenda kukutananao maana kila kabila lina mambo yake.
Pamoja na yote ujiandae na mazagazaga yakutosha
1. Mkaja wa mama.
2. Vitenge vya mashangazi
3. Blanket la bibi
4. Jembe
5. Panga.
6.koti la bahu
7. Fedha ikiwa ni sehemu ya mahali
Maana hamnaga utambulisho wa kienyeji tu bila kuambiwa swala la mahali
Kwaiyo mkuu hapo sindio kutoa mahari kabisa unatoaje mahari hata hawajakujua vizuriUsije ukafanya kosa ukaenda mikono mitupu, nakushauri kama una chini ya laki saba usitie miguu... Utaaibika!! Kwa mila nyingi za kibantu unapoenda kutambulishwa maana yake lazima ufuate taratibu za mahali, kutambulishwa sio kuona sura yako...
Jaribu kupeleleza vzr
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
kakodi gari kali uende nalo ukweni utanikumbuka heshima itakuwa juu baba mkwe hawezi kukuliza maswali ya kijinga jinga wala kukudharau nashauri kodi ata range au hammer oiga na suti yako kali ukiingia nayo ukweni wote watakuheshimu jifanye upo kwenye system serikalini na usikae nao sana kaa lisaa limoja tu mpange mshikaji akupigie ujifanye unahitajika dodoma kikazi aga sema unaelekea dodoma makao makuu una shughuli za kiserikali unawahi. ukifanya nilichokwambia wakwe hawatajishauri kukupa mke ata kesho ukaoe
Yaani nisikie anachukua anaweka waaaah nisitikise kichwaVaa vizuri,usivae miwani ya aina yoyote ile, Kama ni mtumiaji wa pombe acha siku tano kabla hujatimba ukweni
Punguza maongezi ya simu ukiwa ukweni ikiwezekana zima kwa muda
Usioneshe hisia flani iwe movie au muziki,siyo unausikia wimbo wa Rayvani ule wa nyegezi ukaanza kutikisa kichwa
Punguza sifa,siyo watu wanagombana/pigana ukajifanya unawaamua utajuta
NB: akili za kuambiwa........
😂 😂 😂Yaani nisikie anachukua anaweka waaaah nisitikise kichwa
Hhahaha ukwebi hata ukisikia songi unalikubali kausha tu.Vaa vizuri,usivae miwani ya aina yoyote ile, Kama ni mtumiaji wa pombe acha siku tano kabla hujatimba ukweni
Punguza maongezi ya simu ukiwa ukweni ikiwezekana zima kwa muda
Usioneshe hisia flani iwe movie au muziki,siyo unausikia wimbo wa Rayvani ule wa nyegezi ukaanza kutikisa kichwa
Punguza sifa,siyo watu wanagombana/pigana ukajifanya unawaamua utajuta
NB: akili za kuambiwa........
huu utapeli sasakakodi gari kali uende nalo ukweni utanikumbuka heshima itakuwa juu baba mkwe hawezi kukuliza maswali ya kijinga jinga wala kukudharau nashauri kodi ata range au hammer oiga na suti yako kali ukiingia nayo ukweni wote watakuheshimu jifanye upo kwenye system serikalini na usikae nao sana kaa lisaa limoja tu mpange mshikaji akupigie ujifanye unahitajika dodoma kikazi aga sema unaelekea dodoma makao makuu una shughuli za kiserikali unawahi. ukifanya nilichokwambia wakwe hawatajishauri kukupa mke ata kesho ukaoe
mkuu umeua kabisaFanya vyote ila usisahau kunyoa upara. Ikiwezekana unyoe ile siku unaenda, ili uwe bado unang'aa.
Kama upo sehemu za baridi, hakikisha umeupaka mafuta. Ila kama ni sehemu za joto uache ubaki natural tu.
Au usikie mamaaa amiiiinaaaaa usiitike kweli ata wakwe watakuona naziYaani nisikie anachukua anaweka waaaah nisitikise kichwa