Recent content by codifier

  1. codifier

    Mwanza: Natafuta kiwanja Mwanza Kwa budget ya tsh 5M hadi 7M

    Karibu Mwanza mkuu kwenye Jiji zuri zaidi Tz.
  2. codifier

    Hivi unawezaje kumpa mtu kadi ya mchango wa harusi ilihali hamjazoeana?

    Me Kwa sasa sipokei card ya mchango wa harusi ya mtu yeyote hata awe rafiki yangu. Kipindi naoa mwaka 2019 sikutaka kusumbua mtu nililudi zangu kijijini kwetu na pesa angu 2M, nikanunua ng'ombe 1, kilo 250 za mchele na mazagzaga mengine ya jikoni, mapambo, mc na keki. Watu walipewa mwaliko wa...
  3. codifier

    Muda sahihi wa kuanza kumpa mtoto uji

    Mwamba unafeli pakubwa kufata ushauri wa madactari kwenye malezi ya mtoto. Wao wenyewe hawafanyi hivyo bali wanalazimika kutoa ushauri huo kutokana na muongozo wa wizara ya afya. Mimi mtoto wangu wa kwanza nilizingatia sana ushauri wa daktari cha kishangaza dogo afya yake haikai vizuri sana na...
  4. codifier

    Naitaji kulipwa fedha zangu za NSSF, msaada tafadhali

    Hapana, kipindi nipo town nilifanya kazi kwenye company HAPO dar then mkataba ulivyoisha nikaenda kufanya kilimo home.
  5. codifier

    Naitaji kulipwa fedha zangu za NSSF, msaada tafadhali

    Me nilijaza form zao za kuomba kulipwa then wa scan vidole vyangu na waksema baada ya mwezi Moja Hela itatoka basi nikaenda zangu shamba kupiga fegi nikisubiri mshiko l.
  6. codifier

    Naitaji kulipwa fedha zangu za NSSF, msaada tafadhali

    Habari za weekend wadau wa JF. Naomba kujua inachukua muda gani kulipwa fedha za Nssf baada ya kukamilisha maombi? Binafsi nilikamilisha maomba ya kulipwa nssf zangu Kwa fingerprint takribani miezi zaidi ya 10 imepita lakini sijalipwa Hela zangu. Kwa sasa nipo napambana na kilimo cha fegi...
  7. codifier

    Kama wewe sio Muha wa Kigoma, basi usithubutu kuoa mwanamke Muha

    Kiongozi sikupingi lakini nafikili ww ndio una matatizo hayo au mke wako tu ndio mwenye matatizo hayo na sio waha wote. Binafsi me sio muha lakini jamaa yangu alioa muha wa huko kasulu kamleta dar, tukaona jamaa kapotea kuchukua mke kigoma wakati dar wapo warembo kibao. Jamaa etu alimfungulia...
  8. codifier

    Ndoa za kikristo v/s ndoa za kiislamu

    Mimi ni mkristo lakini waisilamu Wana heshima sana Kwa waume zao na pia wana roho nzuri ukilinganisha na wanawake walio wengi wa kikristo. Lakini pia waisilamu kuoa wake wengi hiyo karata waliicheza vizuri sana, lakini sisi wakristo ka mke kamoja yaani hakatoshi kabisa hapa tulipigwa na kitu...
  9. codifier

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Kiongozi gari ipi inafaa Kwa Mimi ambae nataka KUMILIKI gari Kwa mara ya kwanza Kwa budget isiozidi 18M.
  10. codifier

    Kampuni ya Bajaj imetoa toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125 HD

    Mkuu soma vizuri comment yangu Navuta Toyota blade na hero hunter 150x off-road zote Kwa mpigo, kwanini nisivimbe na kipato changu nakijua mwenyewe
  11. codifier

    Ushauri nataka kununua tv

    Kama una mkwanja wa kutosha vuta sony android tv 4k. Haya mengine ya china sijui TCL ni takataka achai watumiaji wa simu za tecno wayanunue ndio tv zao hizo.
  12. codifier

    Ipi ni njia sahihi ya kupaki Gari kwa usalama wa Gear Box

    Sina gari lakini nakujibu. Kama unatoa gari kanyaga brake pedal, toa handbrake, weka drive gear or reverse gear kulingana na uelekeo wako then release brake pedal slowly sepa zako. December nikivuta NDINGA yangu takuwa nishakuwa na abc za safe driving.
  13. codifier

    Kampuni ya Bajaj imetoa toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125 HD

    Me naipenda hero hunter 150x off-road Japo December nataka nivute blade yangu swafiii na hero hunter 150x off-road nivimbe huko mkoa.
Back
Top Bottom