sukariyawarembo
Senior Member
- Aug 2, 2019
- 167
- 116
Wakuu za wakati huu,
Nina mtoto ana miezi mitano bado hatujamuanzisha chakula kingine ananyonya maziwa ya mama yake tu, ila shida ni kuwa amekuwa ananyonya muda wote anakaa kidogo anapata njaa ananyonya tena hadi mama yake amekonda (maziwa anayo ya kutosha).
Sasa tunajiuliza tumuanzishie uji lakini tunasita kwa sababu hospitali madktari wanasema hadi afikishe miezi 6 na huku mtaani wamama wanasema hata miezi minne tu anaruhusiwa kuanza kunywa uji. Tupo njiapanda ni mtoto wetu wa kwanza.
Naamini humu kuna wataalamu na wazoefu naombeni ushauri wenu.
Nina mtoto ana miezi mitano bado hatujamuanzisha chakula kingine ananyonya maziwa ya mama yake tu, ila shida ni kuwa amekuwa ananyonya muda wote anakaa kidogo anapata njaa ananyonya tena hadi mama yake amekonda (maziwa anayo ya kutosha).
Sasa tunajiuliza tumuanzishie uji lakini tunasita kwa sababu hospitali madktari wanasema hadi afikishe miezi 6 na huku mtaani wamama wanasema hata miezi minne tu anaruhusiwa kuanza kunywa uji. Tupo njiapanda ni mtoto wetu wa kwanza.
Naamini humu kuna wataalamu na wazoefu naombeni ushauri wenu.