Mimi nna miaka Zaidi ya 10 tangu meno yaache kunisumbua, nilikuwa naumwa meno Hadi navimba fizi shavu Zima. Lakinia niliambiwa nisukutue kwa mkojo Hadi Leo meno yalipona yaliyokuwa na mshimo uwa yanakatika yenyew taratibu bila maumivu yoyote, Hadi nilikuwa nashangaa ilikuwaje meno yameacha...
Morogoro haifiki hata kwenye robo ya Kasulu kigoma.. morogoro nimekaa miaka mwili nimeenda Hadi Ifakara. Lakini Kasulu ipo juu, unakanyaga chini mguu unatitia kwenye vumbi alfu jekundu. Kigoma ni hatari kwakweli..
Mkojo unatibu vidonda vya tumbo pia .. unaweza ukatumia kama alivyosema mleta Uzi yaan ukanywa mapafu mawili au matatu ya asubui Yale... Sema kikubwa upimwe afya yako usiwe na magonjwa kama UTI na mengine kama hayo ... Ikibid kunywa maji usiku ili ukiamka asubui mkojo wako usiwe mchafu Sana kwa...
Nimeangalia clip yake kwa MiladiAyo anasema aliacha Kazi baada ya fastJet kufunga bihashara na mshahara wake ulikuwa kama milioni Moja kwa pesa za Tanzania Wala siyo hizo Dollar..!
Hakuna uhusiano wowote ni majina tu. Majina ya kihaya hayafati Koo furani Bali ufata utashi wa wazazi na ndugu wa karibu wa mtoto anapozaliwa . Sana Sana yanakuwa yamebeba maana ya matukio au kumbukumbu flani..
Mimi mwenyewe Niko hivyo majina mawili kwenye vyeti vya elimu lakini matatu kwenye vyeti vya kuzaliwa na NIDA. Nilipata Kazi serikalini nilichofanya kabla ya siku ya interview nilienda kwa mwanasheria kula kiapo ndo inaitwa affidavit kwamba ndugu flan bin flan kama anavyotambuliwa kwenye vyeti...
Kweli hii ndo 'Wagawe uwatawale'. Kama sio kupotezeana focus ni Nini.! Vyama vyote hivyo alfu eti Kila mtu anataka kushika madaraka. Kilichopo ni kuendelea kutengeneza nafasi Kwa Chama kimoja kusalia madarakani daima.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Naomba betting site nzuri nataka nirudi kwenye gemu ya betting.. Sasa hivi nabet Kama starehe kwahyo ntakuwa naweka kile nilichonacho tiyari kukopoteza .. nilikuwa nabet Kwa umaskini na tamaa kipindi nipo chuo mwaka elfu 2018/19 ili kutafta hela ya kula nkawa naweka y
Tamaa mbele nkawa naliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.