Recent content by clever z

  1. C

    GE2015 Humphrey Polepole: CCM ilifanya maamuzi ya kiume, Majizi na hasa kubwa lao yakakatwa...

    Hapo wote wachafu si hao chadema wala ccm....woote wachafu tena mnatia aibu...hapa ukomboz kamwe hauwez kupatikan kwa njia ya siasa ya sasa ya tanzania nilazim tufikiri nje ya box...kam itawezekan tuongoz nchi kwa demokrasi ya kupokezana tupate vyam viwili tu....nikionacho mim chadem mkipata hii...
  2. C

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Habari. Mimi nasumbuliwa na miwashwo mara tu yakutoka kuoga. Tatizo ni nini?
  3. C

    Ewe Muislamu, Ikubali kwanza BAKWATA kabla ya kuihitaji Mahakama ya Kadhi

    Akili za mtu changanya nazakwako....waislam hatulazimishwi kumuabudu binadam mwenzetu kwahio hiyo bakwata nahao mashehe wao ni watu kama mim nawawez kukosea pia.....mahakam ya kadhi tutaipata ila sikutoka kwa wanasiasa ama bakwata....nawanasiasa namaanisha wote c kutoka chadema cuf ama ccm
  4. C

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Mtoa mada unakurupuka na hii inadhihirisha huo ucritical thnker wako...na ingekuw vyema ungesema na chuo chako ili tuwape pongezi kwa kuwa critical thnker.....hivi unatumia kauli ya ujumla kwa group la watu fulani??!!kweli umefikiri vya kutosha? Au utasema hili kundi limewawakilisha wanafunz...
  5. C

    Rais Kikwete awaambia Polisi wakae mguu sawa

    Hapa ninachoona ni kutozoea tu ila nisahih kwa jk kusem hivyo na hakumaanisha kam kutatokea hizo vurugu ila hao jamaa wakae mkao wa kula incase ikatokea....yaan ni tahadhar kabla ya hatari sio had itokee ndo aseme na najua kam asingesem halaf ije itokee stil tungelaum mana ndo zetu wabongo much...
  6. C

    Zitto Kabwe, uwezo wako wa kisiasa katu hautakwisha kwa kuenguliwa, taifa linakuhitaji

    Nimda wavijana kutuliza fikra na kupima mazito aliyoiafanyia nchi yake huyu kijana na pia kuangalia sababu wanazozitoa cdm kumfukuz uanachama....vijana tusiwe walev wa vyama ndani yakipind hiki cha harakati za kidemokrasia,...thaman ya zitto kwa taifa nikubwa mnoo....nitakuw wa kwanza kubeba...
  7. C

    Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

    The guy is talented...kwa anayoyafanya kwa tanzania ya sasa hakuna mwanasiasa wa upinzan anayewez kufanya....put evidence nasio siasa zile zile za kuzushiana....zitto ni mpiganaji na haitaji akili za ziada kujua hilo....ameifanyia mengi tanzania yetu...swala je hao unaowaabudu wameifanyia nin...
  8. C

    Best Tanzanian university rank 2015

    My university inakuja juu..,.udom oyeeee!!!
  9. C

    Clouds Media ni media ya kinafiki sana

    Jf kunawatu cjui wanafrika gani....tambua clouds ni media ya kibiashara hivyo kuangalia upepo ambao utakuw na soko ni jambo lakawaida....kama unatak anzisheni vituo vya habar vinavyomilikiw kwa pamoja ili kuleta usawa unaotaka...pia hatakam wanachochea bifu ilimradi inawalipa wataendelea kufanya...
  10. C

    NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

    Nssf nishirika kubwa lisoendeshwa kwa romours za mitandao ya kijamii hasA JF.....pili kinachosumbua watu wengi nikuona ramadhan anaongoz shirika halaf kinahamis na juma nao wakipata ndo taabu mana hamjazoea....ila mtazoea nahaya maneno yataisha ila najua muda unahitajika kwa hili ili kuzoea...
  11. C

    NSSF waanza kuita watu kwa ajili ya oral interview

    Nikweli watu wameanza kuitwa...tulishatolea maelezo kuwa yale majina sio sahihi....be patients na uwe karibu na simu yako mana simu zinapigwa hadi usiku!!!
  12. C

    Kilele cha Kejeli: Kikwete Umenikwaza... "Barua ya Mkosaji"

    Waooh!!daaah wew ni mwanafasihi.....au mwanafalsafa....inavutia kusoma
  13. C

    CV ya Prof. Ibrahim Lipumba, msomi, mtumishi aliyetukuka na mwanasiasa mvumilivu

    Nitaipa ukawa kura endapo kama watampitisha prof lipumba....unless othrwise sitojisumbua....ila wazir mkuu awe mbowe sio slaa!!
Back
Top Bottom