NSSF waanza kuita watu kwa ajili ya oral interview

NSSF waanza kuita watu kwa ajili ya oral interview

subenge

Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
10
Reaction score
0
Kuna tetesi kwamba NSSF wameanza kuita kwa ajili ya oral interview. Wadau kama kuna aliyeitwa humu atupe uhakika.
 
Watu wameishaaanza kazi tusiziunguane hapa majina yaliwekwa hapa hapa
 
majina gani? si wanasema interview zimeanza leo itajuaje watu wapo kazini?
 
Jamani kama huna uhakika bora usicomment; kama kuna mtu keshaitwa please aje basi kutujuza kama ni kweli taratibu zipote I mean wataendelea kuita mpaka lini.
 
plz jamani km mtu huna uhakika usicomment coz unachanganya watu bure
 
kuna watu wameanza oral leo ila sijui ni post gani? embu anayejua leo oral nssf ni ya post gani atujuze?
 
kwa nn hii oral, hamna mtu aliyeitwa ajitaje ilikue na uwakika jamani mh
 
Nikweli watu wameanza kuitwa...tulishatolea maelezo kuwa yale majina sio sahihi....be patients na uwe karibu na simu yako mana simu zinapigwa hadi usiku!!!
 
Mi nimepigiwa cm mchana kwa vda nikakuta missed col nilipoipiga aliniuliza kwan we nimekupigia nikamjib ndio akasema subr kwanza niangalie kama nilikupigia, Kila nikipiga namb busy sa hv haipatkan asa hz habar kwamb jamaa wanaita zimenifany nihis kama ni wao
 
Hii.kazi kwakweli km unaitwa leo.kesho.interview hii shughuli na km ndo hata hujapigiwa hadib now tuandike hatupo
 
Kuna jamaa ilibidi afanye jn akasema yupo mbali kaambiwa aende alhamic so leo katoka huku kesho anaingia mzigoni inshaallah. ....na kweli wanatumia namba ya voda km ukiikuta hyo ipige asee
 
Mi nimepigiwa cm mchana kwa vda nikakuta missed col nilipoipiga aliniuliza kwan we nimekupigia nikamjib ndio akasema subr kwanza niangalie kama nilikupigia, Kila nikipiga namb busy sa hv haipatkan asa hz habar kwamb jamaa wanaita zimenifany nihis kama ni wao

Kweli wanatumia voda watafute asee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom