Recent content by citizentz

  1. citizentz

    Maumivu ya mfupa wa paja

    Mke wangu tokea jana jioni alipata maumivu ya ghafla ya mfupa wa paja la kushoto na yameendelea kuongezeka. Naomba msaada wa hili tatizo.
  2. citizentz

    Lowassa/Zitto Kabwe wapeleka kilio CCM

    Sio kweli kusema manispaa ya Moshi ilikua chini ya upinzani tokea mwaka 95. Ukweli ni huu manispaa ya Moshi ipo chini ya upinzani kwa baraza la madiwani kuongozwa na upinzani tokea uchaguzi wa 2010 na huu 2015
  3. citizentz

    Pata gari used kwa bei poa

    Hiyo spacio bei gani?
  4. citizentz

    Gari linauzwa

    Spacio model gani? Weka tangazo lako vizuri mkuu
  5. citizentz

    Makongoro Awashukuru Waasisi Wa CCM Tanga Kwa Udhamni Wao Na Imani Yao Kwake

    Huoni kuwa umewakosea heshima hao wazee hapo juu
  6. citizentz

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Barker anataka kuondoa furaha kwny mahusiano ya Lincoln na katlego
  7. citizentz

    Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

    Mke wangu alipobeba mimba tu akawa hapendi tena harufu ya pafyumu ninayo itumie so imebidi kuacha. Nasubiria akijifungua labda hali itakua shwari tena
  8. citizentz

    RV4 J inauzwa

    Weka kwanza details, lini imetengenezwa, cc ngapi? Transmission
  9. citizentz

    Wolper: Wazazi Wangu ni Matajari Hawahitaji Msaada Wangu

    [Q UOTE=duanzi;8958140]msaranga sehem gani mkuu. karibu na maghorofani? Kwa kina wolper ni Msaranga ni karibu na kigango cha kanisa katoliki mtaa unaitwa Msaranga Msaranga karibu sana na msituni kuelekea shule ya msingi msandaka
  10. citizentz

    Amenifumania mara 3, tukatalikiana, sasa naoa anadai turudiane

    Mrudie tu mkeo ili familia yenu ikamilike kama pale mwanzo. Ni vyema kuwa na watoto wa mama mmoja kuliko kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja.
  11. citizentz

    Wizi wa Salio mtandao wa Voda

    Sio vodacom peke Yao hata tigo nao wanaibia wateja. Mimi huwa wananikata 150 kila siku na sijui sababu za wao kufanya hivyo. Kwa sababu sijajiunga na huduma zozote zile za tigo zenye makato
  12. citizentz

    Tatizo la wifi kwenye iPhone 4s, naomba msaada

    Naomba msaada kuhusu kupotea kwa wifi kwenye Simu yangu ya iPhone 4s. Ilipotea ghafla na mpaka sasa siwezi kupata wifi wala icon ya wifi siwezi kuiclick.
Back
Top Bottom