Habar zenu wa dau
Kwa mwenye kuelewa nini sababu yakupata maumivu wakati wa haja ndogo na nini ni tiba yake atujuze maana ili tatzo lilishanitokeaa
Natangulizaa shukran
Nina laptop aina ya samsung notebook nlikuwa cjaiwasha kwa muda wa mwaka mzima . Sasa jana nliwashaa ikawaka vzuri tu lakin keyboard imegoma ku type naombeni msaadaa wenu wadau nifanyeje
Natanguliza shukuran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.